-
SAUTI: Wakulima wa Uganda na Kenya washauriwa kutumia kilimo bora
Nov 16, 2016 06:25Wakulima nchini Uganda na Kenya wameshauriwa kutumia kilimo bora cha uzalishaji mazao yanayotumiwa sana na raia wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa lengo la kukabiliana na njaa. Aidha wakulima hao wametakiwa kulima vyakula ambavyo ni rahisi kwa kilimo na mavuno. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali
Nov 15, 2016 07:07Wanasayansi na watafiti kutoka nchi zinazoendelea wametangaza kwamba wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa fedha hali inayodhoofisha tafiti zinazofanywa kwenye mataifa. Hata hivyo juhudi za hivi karibuni zinaonyesha huenda hali ikabadilika. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kigali na ripoti zaidi
-
SAUTI, Watanzania: Kuchaguliwa Trump kumebainisha kuwa Wamarekani wote wana ubaguzi mioyoni mwao
Nov 10, 2016 13:14Watanzania walio wengi wameonyesha masikitiko yao kufuatia ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani kutokana na kile wanachokidai kuwa ni misimamo hasi ya kibaguzi ambayo mara nyingi alikuwa akiitoa katika kipindi chote cha kampeni.
-
VIDEO: Apewa kadi kwa vituko uwanjani (Kama huwezi kujizuia kucheka usiangalie)
Nov 08, 2016 05:46Ungelihisi vipi kama ungelimuona mwenzako anafanya mchezo mchezoni? Kama ungelimuona anafanya vituko uwanjani? Mtangazaji wa kabumbu hii yeye ameshindwa kujizuia kucheka, lakini mwamuzi alikuwa na mtazamo tofauti! Usiangalie kama kicheko chako kiko karibu.
-
VIDEO: Panya mjanja! Lakini...
Nov 08, 2016 05:36Ukijifanya mjanja, jua kuwa wako wajanja kuliko wewe. Panya huyu alidhani kwa kujificha kwenye tairi la gari ndiyo itakuwa salama yake lakini...
-
SAUTI: Mgogoro wa kisiasa Zanzibar umewafanya Watanzania kuwa na kauli tofauti baada ya kikao cha Rais Magufuli TZ na waandishi wa habari Ijumaa hii
Nov 05, 2016 13:27Baada ya Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kuzungumza na waandishi wa habari Ijumaa hii katika hafla ya kutathmini uongozi wake wa mwaka mmoja tangu achaguliwe kuwa rais, kumekuwepo na kauli tofauti baina ya Watanzania juu ya nukta alizoziashiria rais huyo.
-
SAUTI: Hali ya Tanzania baada ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani
Oct 27, 2016 11:53Radio Tehran imezungumza na baadhi ya Watanzania kuhusu mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, huku changamoto kubwa ya serikali yake ikiwa ni ugumu wa maisha kwa Watanzania.
-
SAUTI: Serikali ya Burundi yatangaza kuyafuta mashirika matano kwa kushindwa kuwajibika, huku ikituhumiwa kwa usiasa
Oct 24, 2016 13:37Hatua hiyo imetajwa kuwa ni baada ya mashirika hayo kuendeleza shughuli zake kwa siri na kinyume cha sharia.
-
SAUTI: Nchi za Kiafrika zimeshauriwa kutojiondoa kutoka Mahakama ya Uhalifu ICC kwani hatua hiyo itaongeza jinai
Oct 24, 2016 13:29Mataifa barani Afrika yameshauriwa kutojiondoa kutoka Mahakama ya Uhalifu wa Kivita ICC na badala yake yaungane kuzimaliza changamoto zilizopo katika makubaliano baina ya nchi hizo na mahakama hiyo.
-
SAUTI: Hatimaye serikali na waasi nchini Kongo DR wakubaliana kuunda serikali ya mseto kuelekea uchaguzi wa raia 2018
Oct 18, 2016 13:19Hatimaye na baada ya muda mrefu wa vutanikuvute ya mazungumzo ya kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, serikali na upande wa upinzani zimetiliana saini ya kumaliza hali ya mchafukoge nchini.