Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel

    Algeria kuliomba Baraza la Usalama lishinikize kutekelezwa hukumu ya ICJ dhidi ya Israel

    Jan 27, 2024 11:55

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria ameitaka Ofisi ya Kudumu ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Umoja wa Mataifa iwasilishe ombi la kufanyika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la umoja huo, wa kujadili namna Israel itashinikizwa kuheshimu kivitendo maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  • Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Jan 13, 2024 06:16

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitangaza Cabo Verde kuwa nchi isiyo na Malaria kwa kufanikiwa kuutokomeza ugonjwa huo na kuipatia cheti rasmi cha uthibitisho.

  • Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Dec 15, 2023 02:58

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ametangaza utayarifu wa Bunge la Iran kufanya kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Palestina katika ngazi ya maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuchunguza njia za kivitendo za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC

    Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC

    Nov 28, 2023 06:17

    Algeria imejiunga na orodha ya nchi zinazotaka kufanyike uchunguzi kuhusiana na jinai za kivita zilizofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, na kushtakiwa utawala haramu katika vyombo vya kimataifa.

  • Rais wa Algeria: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepatwa na maradhi ya kupooza

    Rais wa Algeria: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepatwa na maradhi ya kupooza

    Nov 25, 2023 12:11

    Rais wa Algeria amesema Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepatwa na maradhi ya kupooza na kwamba utawala ghasibu wa Israel haujali wala kuheshimu maamuzi ya taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Waalgeria wasusia bidhaa za Ufaransa wakiwatetea Wapalestina

    Waalgeria wasusia bidhaa za Ufaransa wakiwatetea Wapalestina

    Nov 12, 2023 12:29

    Uhalifu na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza kwa msaada wa nchi za Magharibi zimewafanya wananchi katika nchi mbalimbali wasusie bidhaa zinazozalishwa katika nchi za Ulaya na Marekani.

  • Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Nov 08, 2023 03:33

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kinyama utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yana wajibu wa kusimamisha dhulma na hujuma hizo za kikatili za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wadukuzi wa Algeria washambulia mitandao ya Wizara ya Vita ya Israel

    Wadukuzi wa Algeria washambulia mitandao ya Wizara ya Vita ya Israel

    Oct 25, 2023 02:52

    Kundi moja la wadukuzi la Algeria limejipenyeza na kushambulia mitandao ya kuhifadhi taarifa za Wizara ya Vita ya utawala haramu wa Israel.

  • Rais wa Algeria aagiza kuanzishwa daraja la angani la misaada kwa ajili ya Gaza

    Rais wa Algeria aagiza kuanzishwa daraja la angani la misaada kwa ajili ya Gaza

    Oct 23, 2023 02:23

    Rais wa Algeria ameagiza kuanzishwa daraja la angani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza kupitia kivuko cha Rafah.

  • Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:43

    Kupitia taarifa, Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imetaka uingiliaji kati wa haraka wa Jumii ya Kimataifa kupitia taasisi husika ili kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS