Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jun 30, 2016 03:34

    Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 13:23

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Wanajeshi kadhaa DRC wakamatwa mkoani Ituri

    Wanajeshi kadhaa DRC wakamatwa mkoani Ituri

    Jun 13, 2016 07:08

    Wanajeshi kadhaa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) wametiwa mbaroni katika mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Jun 05, 2016 07:33

    Waziri Mkuu wa Libya amepinga uingiliaji wa kijeshi nchini humo ambao umekuwa ukipangwa na baadhi ya madola kwa kisingizio cha kupambana na magaidi wa ISIS nchini humo.

  • Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    Meli ya Kivita ya Uingereza yaelekea Libya kuzuia wahamiaji

    May 27, 2016 07:18

    Uingereza imetangaza kuwa itatuma meli ya kivita nchini Libya kuzuia wahamiaji wa kigeni ambao wanatumia pwani ya nchi hiyo kuvuka Bahari ya Mediterranean na kuiniga Ulaya kinyume cha sheria.

  • Kituo cha upekuzi cha jeshi la Mali chashambuliwa na watu wasiojulikana

    Kituo cha upekuzi cha jeshi la Mali chashambuliwa na watu wasiojulikana

    May 23, 2016 07:16

    Duru za kijeshi za Mali zimetangaza habari ya kushambuliwa kituo kimoja cha upekuzi cha jeshi la nchi hiyo na watu wenye silaha.

  • Uwezo wa Jeshi la Iran ni sababu ya maadu kutoihujumu nchi hii

    Uwezo wa Jeshi la Iran ni sababu ya maadu kutoihujumu nchi hii

    May 22, 2016 04:22

    Brigedia Jenerali Ahmad Reza Pourdastan, Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwepo tayari kivita jeshi la nchi hii ni sababu kuu inayowazuia maadui kuitishia Iran.

  • Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi

    Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi

    May 08, 2016 04:45

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu haioni kizingiti chochote katika kufanya mazoezi ndani ya maji yake katika Ghuba ya Uajemi.

  • Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    May 03, 2016 03:57

    Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.

  • Brigedia Jenerali Pordastan: Iran kuadhibu vikali wavamizi

    Brigedia Jenerali Pordastan: Iran kuadhibu vikali wavamizi

    Apr 22, 2016 04:37

    Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema chokochoko zozote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zitapata jibu kali na kwamba vikosi vya ardhini vya Iran vitawaadhibu vikali wavamizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS