Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya

    Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya

    Jul 21, 2016 09:09

    Miili 22 ya wahajiri imepatikana ndani ya boti karibu na pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterranean huku juhudi za kutafuta miili zaidi zikiendelea.

  • UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya

    UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya

    Jul 19, 2016 09:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh yamkini wakaenea maeneo mengine barani Afrika baada ya kupata pigo kubwa katika mji wa Sirte nchini Libya, ambayo ilikuwa ngome yao.

  • Mapigano yaendelea katikati ya mji wa Sirte, Libya

    Mapigano yaendelea katikati ya mji wa Sirte, Libya

    Jul 17, 2016 11:23

    Mapigano baina ya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya na genge la kigaidi la Daesh yangali yanaendelea katikati ya mji wa Sirte, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa al Qaida nchini Libya aangamizwa

    Kiongozi wa al Qaida nchini Libya aangamizwa

    Jul 13, 2016 23:39

    Jeshi la Anga la Libya limetangaza kuwa limefanikiwa kumuangamiza kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida nchini humo.

  • Vikosi vya Libya vyashambulia ngome za Daesh

    Vikosi vya Libya vyashambulia ngome za Daesh

    Jul 12, 2016 23:03

    Vikosi vya Libya vimezishambulia ngome za wanamgambo wa kundi la kigaidi la Daesh kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi

    Jul 07, 2016 09:36

    Kwa akali askari 12 wa jeshi la Libya wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Dabbashi akadhibisha uvumi wa kufutwa kazi UN

    Dabbashi akadhibisha uvumi wa kufutwa kazi UN

    Jul 06, 2016 03:07

    Mwakilishi wa Libya katika Umoja wa Mataifa amekadhibisha uvumi kwamba ametimuliwa kazi.

  • Namna Daesh wanavyotumia raia kama ngao vitani nchini Libya

    Namna Daesh wanavyotumia raia kama ngao vitani nchini Libya

    Jun 27, 2016 10:40

    Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh linawatumia raia kama ngao katika vita vinavyoendeshwa na serikali kwa ajili ya kuukomboa mji wa bandari wa Sirte.

  • 14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya

    14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya

    Jun 25, 2016 02:01

    Kwa akali watu 14 wameuawa katika mapigano makali kati ya jeshi la Libya na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Sirte.

  • Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari

    Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari

    Jun 20, 2016 23:17

    Muda wa hali ya hatari nchini Tunisia unamalizika leo Jumanne. Jana Jumatatu Rais wa Tunisia alitangaza kuongeza muda wa hali hiyo ya hatari kwa mwezi mmoja zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS