-
Miili 22 ya wahajiri yapatikana katika Pwani ya Libya
Jul 21, 2016 09:09Miili 22 ya wahajiri imepatikana ndani ya boti karibu na pwani ya Libya katika Bahari ya Mediterranean huku juhudi za kutafuta miili zaidi zikiendelea.
-
UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya
Jul 19, 2016 09:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh yamkini wakaenea maeneo mengine barani Afrika baada ya kupata pigo kubwa katika mji wa Sirte nchini Libya, ambayo ilikuwa ngome yao.
-
Mapigano yaendelea katikati ya mji wa Sirte, Libya
Jul 17, 2016 11:23Mapigano baina ya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya na genge la kigaidi la Daesh yangali yanaendelea katikati ya mji wa Sirte, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa al Qaida nchini Libya aangamizwa
Jul 13, 2016 23:39Jeshi la Anga la Libya limetangaza kuwa limefanikiwa kumuangamiza kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida nchini humo.
-
Vikosi vya Libya vyashambulia ngome za Daesh
Jul 12, 2016 23:03Vikosi vya Libya vimezishambulia ngome za wanamgambo wa kundi la kigaidi la Daesh kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi
Jul 07, 2016 09:36Kwa akali askari 12 wa jeshi la Libya wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Dabbashi akadhibisha uvumi wa kufutwa kazi UN
Jul 06, 2016 03:07Mwakilishi wa Libya katika Umoja wa Mataifa amekadhibisha uvumi kwamba ametimuliwa kazi.
-
Namna Daesh wanavyotumia raia kama ngao vitani nchini Libya
Jun 27, 2016 10:40Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh linawatumia raia kama ngao katika vita vinavyoendeshwa na serikali kwa ajili ya kuukomboa mji wa bandari wa Sirte.
-
14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya
Jun 25, 2016 02:01Kwa akali watu 14 wameuawa katika mapigano makali kati ya jeshi la Libya na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Sirte.
-
Serikali ya Tunisia yaongeza muda wa hali ya hatari
Jun 20, 2016 23:17Muda wa hali ya hatari nchini Tunisia unamalizika leo Jumanne. Jana Jumatatu Rais wa Tunisia alitangaza kuongeza muda wa hali hiyo ya hatari kwa mwezi mmoja zaidi.