Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wapiganaji wa Haftar wapuuza mwito wa UN, waendelea kumwaga damu Libya

    Wapiganaji wa Haftar wapuuza mwito wa UN, waendelea kumwaga damu Libya

    Mar 24, 2020 03:28

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 6 katika mashambulizi ya roketi ya kundi la wanamgambo linalojiita jeshi la kitaifa la Libya linaloongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar jana Jumatatu viungani mwa mjini mkuu Tripoli.

  • Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Mar 21, 2020 07:17

    Mjumbe katika Baraza la Utawala la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, Muhammad Ammari amesema Libya ingali inasubiri ufafanuzi wa Serikali ya Sudan kuhusu uwepo wa mamluki wa Kisudani katika safu za wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar wanaoendelea kuhujumu mji wa Tripoli.

  • UN yalaani mauaji ya wasichana na wanawake mjini Tripoli, Libya

    UN yalaani mauaji ya wasichana na wanawake mjini Tripoli, Libya

    Mar 20, 2020 08:36

    Umoja wa Mataifa umelaani shambulizi la mabomu katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ambalo liliua na kujeruhi watoto wa kike na wanawake kadhaa.

  • Watoto 3 wauawa katika shambulizi la wapiganaji wa Haftar Libya

    Watoto 3 wauawa katika shambulizi la wapiganaji wa Haftar Libya

    Mar 19, 2020 04:22

    Watoto watatu wa familia moja wameuawa baada ya kundi la wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya linaloongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar kulishambulia kwa mabomu eneo la Ain Zara, kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Mar 15, 2020 23:03

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema Gadi ya Pwani ya Libya imewakamata wahajiri 400 wakiwa safarini kuelekea Ulaya na kuwarejesha katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    Mar 12, 2020 23:20

    Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.

  • Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Mar 12, 2020 04:26

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Algeria ametangazwa kuwa chaguo la baadae la kushika nafasi ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya.

  • Kuendelea mashauriano kwa ajili ya kurejesha hali ya uthabiti Libya

    Kuendelea mashauriano kwa ajili ya kurejesha hali ya uthabiti Libya

    Mar 11, 2020 03:38

    Katika hali ambayo vita vinaendelea huko Libya; Khalifa Haftar kamanda wa wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya ameainisha masharti kwa ajili ya kutekeleza usitishaji vita huko Libya wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa katika ikulu ya Elysee.

  • UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    Mar 05, 2020 04:48

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watu wasiopungua 1,800,000 wameathirika vibaya na vita vya ndani nchini humo ambapo 266,000 kati yao ni watoto wadogo.

  • Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mar 03, 2020 03:55

    Ghassan Salamé, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, huku mgogoro wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ukishtadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS