-
UN yalaani mauaji ya wasichana na wanawake mjini Tripoli, Libya
Mar 20, 2020 08:36Umoja wa Mataifa umelaani shambulizi la mabomu katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ambalo liliua na kujeruhi watoto wa kike na wanawake kadhaa.
-
Watoto 3 wauawa katika shambulizi la wapiganaji wa Haftar Libya
Mar 19, 2020 04:22Watoto watatu wa familia moja wameuawa baada ya kundi la wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya linaloongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar kulishambulia kwa mabomu eneo la Ain Zara, kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya
Mar 15, 2020 23:03Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema Gadi ya Pwani ya Libya imewakamata wahajiri 400 wakiwa safarini kuelekea Ulaya na kuwarejesha katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha
Mar 12, 2020 23:20Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.
-
Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya
Mar 12, 2020 04:26Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Algeria ametangazwa kuwa chaguo la baadae la kushika nafasi ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya.
-
Kuendelea mashauriano kwa ajili ya kurejesha hali ya uthabiti Libya
Mar 11, 2020 03:38Katika hali ambayo vita vinaendelea huko Libya; Khalifa Haftar kamanda wa wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya ameainisha masharti kwa ajili ya kutekeleza usitishaji vita huko Libya wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa katika ikulu ya Elysee.
-
UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto
Mar 05, 2020 04:48Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watu wasiopungua 1,800,000 wameathirika vibaya na vita vya ndani nchini humo ambapo 266,000 kati yao ni watoto wadogo.
-
Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu
Mar 03, 2020 03:55Ghassan Salamé, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, huku mgogoro wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ukishtadi.
-
Indhari ya UN kuhusu kubadilika mzozo wa Libya kuwa vita vya kieneo
Mar 01, 2020 20:50Licha ya mazungumzo na juhudi za kimataifa katika wiki za hivi karibuni kwa ajili ya kuhitimisha vita nchini Libya, lakini mapigano yamezidi kuongezeka na sasa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika imegeuka kuwa ulingo wa vita vya niaba.
-
UN: Mapigano ya ndani Libya yanaweza kugeuka kuwa vita vya kieneo
Feb 29, 2020 03:43Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametahadharisha kuwa mapigano ya ndani nchini humo yanaweza kugeuka kuwa vita vya kieneo.