-
Kikao cha kusikiliza kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky chaakhirishwa
Nov 27, 2016 03:51Kikao cha kusikiliza kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria kimeakhirishwa na kupangiwa tarehe nyingine.
-
Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa
Nov 23, 2016 04:38Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.
-
Misri yaidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wa Ikhwani
Oct 27, 2016 04:33Mahakama ya Rufaa nchini Misri jana Jumatano ilitilia nguvu hukumu iliyotolewa na mahakama ya chini ya kifungo cha maisha jela kwa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria kotini kupinga marufuku dhidi yake
Oct 21, 2016 10:31Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeelekea mahakamani kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa serikali kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo katika jimbo la Kaduna.
-
Misri yaanza kusikiliza kesi kuhusu visiwa vya Sanafir na Tiran
Oct 09, 2016 04:24Mahakama moja nchini Misri imeanza kusikiliza rufaa ya serikali ya Cairo ya kupinga uamuzi wa mahakama ya chini ya nchi hiyo wa kutaka Saudi Arabia ipokonywe visiwa vya kistratajia vya Tifan na Sanafir, milki ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe
Oct 08, 2016 10:35Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.
-
Askari walioshirikiana na al-Qaeda Kodivaa wafungwa miaka 10 jela
Aug 05, 2016 09:16Askari wawili wa Ivory Coast wamehukumiwa kifungo cha miaka kumi jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kushirikiana na kuwa na mafungumano na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Qaeda.
-
Aliyenajisi mabinti 100 Malawi kufungwa jela maisha?
Aug 05, 2016 23:24Mahakama moja nchini Malawi imemnyima dhamana mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.
-
Mahakama yaakhirisha kesi ya Sheikh Issa Qassim
Jul 27, 2016 09:42Utawala wa Aal Khalifa leo umesikiliza kikao cha kwanza cha kesi iinayomkabili Sheikh Issa Qassim kiongozi wa Washia wa Bahrain.
-
Wasomi wa Kiislamu Bahrain:Kesi dhidi ya Sh. Qassim ni bandia
Jul 27, 2016 02:57Kundi la wanazuoni wa Kiislamu wa madhehebua ya Shia nchini Bahrain limesema tuhuma dhidi ya msomi mwenzao Ayatullah Sheikh Isa Qassim hazina msingi na kwa mantiki hiyo, kesi inayotazamiwa kuanza hii leo dhidi ya mwanachuoni huyo ni bandia.