Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Watu wasiopungua 39 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini Niger

    Watu wasiopungua 39 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini Niger

    Dec 15, 2024 10:54

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa watu wasiopungua 39 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha magharibi mwa nchi hiyo karibu na mpaka na Burkina Faso.

  • Mamia wamepoteza maisha, zaidi ya milioni 1 wahama makazi yao kutokana na mafuriko huko Niger

    Mamia wamepoteza maisha, zaidi ya milioni 1 wahama makazi yao kutokana na mafuriko huko Niger

    Oct 09, 2024 13:58

    Mvua kubwa iliyonyesha nchini Niger imesababisha vifo vya watu 339 na kuwalazimisha wengine zaidi ya milioni 1.1 kuhama makazi yao tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.

  • Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Oct 04, 2024 07:12

    Serikali ya kijeshi ya Niger imepiga marufuku kipindi kinachorushwa na kanali ya televisheni ya Ufaransa ikisisitiza kuwa kipindi hicho ni tishio kwa thamani za nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Sep 27, 2024 03:04

    Waendesha mashtaka katika nchi zinazoongozwa na serikali za kijeshi za Mali, Burkina Faso na Niger wameanzisha uchunguzi dhidi ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Wassim Nasr, wakimtuhumu kuwa "mshirika wa ugaidi" kutokana na uchambuzi wake juu ya mashambulizi ya magenge ya kigaidi.

  • Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Sep 17, 2024 08:20

    Jeshi la Marekani limetangaza kuwaondoa wanajeshi wake wote katika ardhi ya Niger.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Sep 01, 2024 06:44

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi makumi ya wengine katika eneo la Maradi, kusini mwa Niger.

  • Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Aug 31, 2024 10:59

    Ujerumani imeviondoa vikosi vyake vya kijeshi kutoka nchi ya Niger katika eneo lenye machafuko la Sahel barani Afrika.

  • Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Aug 05, 2024 10:21

    Kambi ya mwisho ya kijeshi ya Marekani nchini Niger imekabidhiwa rasmi leo kwa nchi hiyo ya Afrika.

  • DRC yaanza kuachia huru wafungwa kupunguza msongamano katika jela kuu ya Kinshasa

    DRC yaanza kuachia huru wafungwa kupunguza msongamano katika jela kuu ya Kinshasa

    Jul 29, 2024 02:55

    Wafungwa wapatao 7,000 wataachiliwa huru kwa masharti kutoka kwenye jela kuu ya Makala iliyoko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa katika jitihada za kupunguza msongamano wa wafungwa wanaoshikiliwa katika jela hiyo.

  • Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni

    Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni "Sikukuu ya Kitaifa"

    Jul 24, 2024 02:35

    Serikali ya kijeshi ya Niger imetangaza Julai 26 kuwa ni Sikukuu ya Kitaifa itakayokuwa ikiadhimishwa kila mwaka nchini humo kusherehekea matendo ya kizalendo ya watu wa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS