-
Jenerali Tchiani kuiongoza Niger kwa mpito wa miaka 5
Mar 27, 2025 11:07Kiongozi wa kijeshi wa Niger ameapishwa rasmi kuwa rais wa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano.
-
Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger
Mar 23, 2025 10:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.
-
Shambulio la kigaidi kwenye msikiti nchini Niger laua makumi ya watu
Mar 22, 2025 07:01Makumi ya watu wameuawa shahidi katika shambulio la kundi la kigaidi la ISIS kwenye msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.
-
Niger: Kutimuliwa maajinabi kumefungua ukurasa mpya wa amani nchini
Feb 18, 2025 07:28Balozi wa Niger mjini Tehran amesema lengo kuu la serikali mpya ya nchi yake ni kupata uhuru kamili.
-
Nigeria yakanusha madai ya kula njama ya kuyumbisha amani huko Niger
Dec 22, 2024 08:02Nigeria imekanusha "kwa matamshi makali sana" tuhuma za Niger kwamba inapanga njama ya kuyumbisha nchi hiyo kwa kuwasaidia wanamgambo waliofanya mashambulizi kwenye bomba muhimu la mafuta la nchi hiyo.
-
Watu wasiopungua 39 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini Niger
Dec 15, 2024 10:54Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa watu wasiopungua 39 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha magharibi mwa nchi hiyo karibu na mpaka na Burkina Faso.
-
Mamia wamepoteza maisha, zaidi ya milioni 1 wahama makazi yao kutokana na mafuriko huko Niger
Oct 09, 2024 13:58Mvua kubwa iliyonyesha nchini Niger imesababisha vifo vya watu 339 na kuwalazimisha wengine zaidi ya milioni 1.1 kuhama makazi yao tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.
-
Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika
Oct 04, 2024 07:12Serikali ya kijeshi ya Niger imepiga marufuku kipindi kinachorushwa na kanali ya televisheni ya Ufaransa ikisisitiza kuwa kipindi hicho ni tishio kwa thamani za nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24
Sep 27, 2024 03:04Waendesha mashtaka katika nchi zinazoongozwa na serikali za kijeshi za Mali, Burkina Faso na Niger wameanzisha uchunguzi dhidi ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Wassim Nasr, wakimtuhumu kuwa "mshirika wa ugaidi" kutokana na uchambuzi wake juu ya mashambulizi ya magenge ya kigaidi.
-
Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger
Sep 17, 2024 08:20Jeshi la Marekani limetangaza kuwaondoa wanajeshi wake wote katika ardhi ya Niger.