Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Sep 27, 2024 03:04

    Waendesha mashtaka katika nchi zinazoongozwa na serikali za kijeshi za Mali, Burkina Faso na Niger wameanzisha uchunguzi dhidi ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Wassim Nasr, wakimtuhumu kuwa "mshirika wa ugaidi" kutokana na uchambuzi wake juu ya mashambulizi ya magenge ya kigaidi.

  • Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Sep 17, 2024 08:20

    Jeshi la Marekani limetangaza kuwaondoa wanajeshi wake wote katika ardhi ya Niger.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Sep 01, 2024 06:44

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi makumi ya wengine katika eneo la Maradi, kusini mwa Niger.

  • Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Aug 31, 2024 10:59

    Ujerumani imeviondoa vikosi vyake vya kijeshi kutoka nchi ya Niger katika eneo lenye machafuko la Sahel barani Afrika.

  • Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa

    Aug 05, 2024 10:21

    Kambi ya mwisho ya kijeshi ya Marekani nchini Niger imekabidhiwa rasmi leo kwa nchi hiyo ya Afrika.

  • DRC yaanza kuachia huru wafungwa kupunguza msongamano katika jela kuu ya Kinshasa

    DRC yaanza kuachia huru wafungwa kupunguza msongamano katika jela kuu ya Kinshasa

    Jul 29, 2024 02:55

    Wafungwa wapatao 7,000 wataachiliwa huru kwa masharti kutoka kwenye jela kuu ya Makala iliyoko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa katika jitihada za kupunguza msongamano wa wafungwa wanaoshikiliwa katika jela hiyo.

  • Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni

    Serikali ya Niger yatangaza maadhimisho ya mapinduzi kuwa ni "Sikukuu ya Kitaifa"

    Jul 24, 2024 02:35

    Serikali ya kijeshi ya Niger imetangaza Julai 26 kuwa ni Sikukuu ya Kitaifa itakayokuwa ikiadhimishwa kila mwaka nchini humo kusherehekea matendo ya kizalendo ya watu wa Niger.

  • Magaidi 6 wauliwa na jeshi la Niger magharibi mwa nchi

    Magaidi 6 wauliwa na jeshi la Niger magharibi mwa nchi

    Jul 12, 2024 06:38

    Kwa uchache magaidi sita wameuliwa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Niger karibu na kijiji cha Abdou Gangani katika mkoa wa magharibi wa nchi hiyo wa Tillabery.

  • Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kupasishwa mpango wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Jul 06, 2024 06:48

    Baada ya miezi minne, serikali ya Marekani imetangaza kwamba vikosi vyake vyote vya kijeshi vitaondoka nchini Niger hivi karibuni.

  • Makumi ya askari wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Makumi ya askari wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Jun 26, 2024 11:50

    Askari wasiopungua 20 wa jeshi la Niger wameuauwa katika shambulio la 'muungano wa makundi ya kigaidi' magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS