Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Wanajeshi 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    Wanajeshi 2 wa kulinda amani wa UN wauawa nchini Mali

    Jun 15, 2020 03:10

    Askari wawili wa Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha Kulinda Amani nchini Mali (MINUSMA) wameuawa katika shambulizi lililotokea kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 10 wa Ivory Coast

    Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 10 wa Ivory Coast

    Jun 12, 2020 02:33

    Kwa akali askari 10 wa Jeshi la Ivory Coast wameuawa katika shambulizi la genge moja la wanamgambo katika mpaka wa nchi hiyo na Burkina Faso.

  • 7 wauawa katika mripuko wa bomu karibu na Mogadishu, Somalia

    7 wauawa katika mripuko wa bomu karibu na Mogadishu, Somalia

    May 31, 2020 11:38

    Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya basi dogo lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu la kutegwa ardhini kando ya barabara moja katika kijiji cha Hawa Abdi viungani mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Makumi ya askari wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Mali

    Makumi ya askari wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Mali

    Apr 07, 2020 07:37

    Makumi ya wanajeshi wa Mali wameuawa katika shambulio la magaidi dhidi ya kambi moja ya jeshi katika eneo la Bamba jimboni Gao, kaskazini mwa nchi.

  • Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Mar 24, 2020 14:44

    Askari wasiopungua 70 wa jeshi la Nigeria wameuawa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu wasiopungua 11 wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Watu wasiopungua 11 wauawa katika shambulio la kigaidi Niger

    Feb 09, 2020 03:29

    Raia wasiopungua 11 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti huko Niger. Katika shambulio moja lililofanywa juzi Ijumaa wanamgambo wa kundi la kitakfiri na kigaidi la Boko Haram waliwauwa raia sita katika wilaya ya Bosso kusini mashariki mwa mkoa wa Diffa unaopakana na Chad na Nigeria.

  • Magaidi waua raia 20 kaskazini mwa Burkina Faso

    Magaidi waua raia 20 kaskazini mwa Burkina Faso

    Feb 03, 2020 08:09

    Afisa mmoja wa usalama nchini Burkina Faso amesema kuwa, raia wasiopungua 20 wameuawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 39 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mwa Burkina Faso

    Watu 39 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mwa Burkina Faso

    Jan 29, 2020 08:13

    Watu 39 wameuawa katika shambulio la kigaidi lililofanywa kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Shambulizi la bomu laua na kujeruhi watu 14 nchini Somalia

    Shambulizi la bomu laua na kujeruhi watu 14 nchini Somalia

    Jan 19, 2020 08:03

    Mripuko wa bomu uliolenga wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa Kituruki nchini Somalia umeua watu watatu na kujeruhi wengine 11.

  • Watu 14 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Watu 14 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Jan 17, 2020 07:31

    Umoja wa Mataifa umesema watu 14 kutoka jamii ya Fulani katikati mwa Mali wameuawa katika kile kinachoaminika ni mapigano ya kikabila.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS