Feb 09, 2020 03:29
Raia wasiopungua 11 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti huko Niger. Katika shambulio moja lililofanywa juzi Ijumaa wanamgambo wa kundi la kitakfiri na kigaidi la Boko Haram waliwauwa raia sita katika wilaya ya Bosso kusini mashariki mwa mkoa wa Diffa unaopakana na Chad na Nigeria.