Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana

    Jul 12, 2016 12:32

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa hali ya raia wanaokimbia vita na mapigano ya ndani Sudan Kusini inatia wasiwasi mkubwa.

  • Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Jul 12, 2016 03:17

    Pande mbili zinazohasimiana huko Sudan Kusini na kusababisha kuzuka upya kwa vurugu nchini humo zimetangaza kusitishwa kwa mapigano, baada ya kuwepo kwa siku kadhaa za machafuko mjini Juba zilizosababisha vifo vya mamia ya watu.

  • Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 23:16

    Jeshi la polisi la Uganda jana liliwapiga marufuku raia wa nchi hiyo kutembelea Sudan Kusini baada ya kuzuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba na kupelekea watu wasiopungua 300 kuuawa.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 08:28

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wametoa taarifa wakitaka kuhitimishwa mapigano katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

  • Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Jul 11, 2016 02:57

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.

  •  Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 11:31

    Mapigano yaliyoshtadi katika siku kadhaa zilizopita huko Sudan Kusini yamemfanya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kueleza wasiwasi wake kutokana na machafuko yanayoendelea huko Juba mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 10:26

    Wanajeshi wasiopungua 115 wameuawa Sudan Kusini katika mapignao baina ya mirengo hasimu serikalini katika mji mjuu Juba.

  • Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 03:10

    Baada ya siku moja ya mapigano ya umwagaji damu kati ya waungaji mkono na wapinzani wa Sudan Kusini katika mji mkuu Juba, kumeripotiwa kutokea ufyatualianaji risasi katika eneo lililopo jirani na ikulu ya Rais.

  • Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Jul 04, 2016 03:22

    Serikali za Uganda na Sudan Kusini zimeafikiana kupambana na wizi wa mifugo na haswa ng'ombe unaofanyika mara kwa mara katika vijiji vilivyoko mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Wakazi wa Magharibi mwa Sudan Kusini wakimbia mapigano

    Wakazi wa Magharibi mwa Sudan Kusini wakimbia mapigano

    Jul 03, 2016 23:36

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limeripoti kuwa wakazi wa eneo moja huko magharibi mwa Sudan Kusini wameyakimbia makazi yao kufuatia kujiri mapigano ya silaha kati ya jeshi la Sudan Kusini na makundi yenye silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS