-
Mbunge Uganda ataka katiba ibadilishwe ili Museveni aendelee kutawala
Jul 08, 2016 09:03Kuna uwezekano Rais Yoweri Museveni wa Uganda akaendelea kutawala hata baada ya muhula wake kumalizika kisheria baada mbunge mmoja kupendekeza katiba ibadilishwe ili kuondoa kizingiti cha umri ambacho kinamzuia Museveni kugombea tena urais.
-
Wanajeshi wa Uganda watuhumiwa kutumia mabavu dhidi ya raia CAR
Jul 06, 2016 09:34Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewatuhumu wanajeshi wa Uganda walioko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwamba, wamekuwa wakitumia mabavu dhidi ya raia wa nchi hiyo.
-
Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja
Jul 06, 2016 02:19Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Uganda lililosimamiwa na ofisi ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lilimaliza kazi zake jana mjini Kampaka kwa kusisitiza udharura wa kuimarishwa umoja baina ya Waislamu.
-
Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo
Jul 04, 2016 03:22Serikali za Uganda na Sudan Kusini zimeafikiana kupambana na wizi wa mifugo na haswa ng'ombe unaofanyika mara kwa mara katika vijiji vilivyoko mpakani mwa nchi mbili hizo.
-
Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu
Jul 01, 2016 03:26Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.
-
UNICEF yatahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda
Jun 29, 2016 08:46Mwakilishi wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF ametahadharisha kuhusiana na vifo vya watoto nchini Uganda.
-
Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR
Jun 29, 2016 02:49Jeshi la Uganda limechukua uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ili kusaidia jitihada za kuwaangamiza waasi wa Uganda.
-
Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia
Jun 24, 2016 09:56Uganda imetangaza kuwa itaondoa askari wake walioko nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM kufikia mwishoni mwa mwaka ujao 2017.
-
Ombi la Uganda kwa Algeria
Jun 18, 2016 06:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda ameiomba Algeria iiunge mkono nchi hiyo katika kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utekelezaji ya Umoja wa Afrika.
-
Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR
Jun 17, 2016 03:53Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.