Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo

    Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo

    Aug 19, 2016 12:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Mevlut Cavusoglu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa muda wa masaa matano.

  • Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria

    Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria

    Aug 19, 2016 03:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, mazungumzo ya pande tatu yanayoendelea baina ya nchi hiyo na Iran na Uturuki kuhusu Syria ni yenye taathira chanya.

  • Safari ya Zarif Uturuki; fupi lakini ya mafanikio mengi

    Safari ya Zarif Uturuki; fupi lakini ya mafanikio mengi

    Aug 14, 2016 01:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif, siku ya Ijumaa alifanya safari ya siku moja nchini Uturuki; safari fupi lakini iliyokuwa na mafanikio mengi. Katika safari yake hiyo Zarif alikutana na kufanya mazungumzo na waziri mwenzake wa Uturuki pamoja na Rais wa nchi hiyo.

  • Waziri Zarif afanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara

    Waziri Zarif afanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara

    Aug 12, 2016 22:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki huko mjini Ankara katika safari ya kwanza muhimu kufanywa na ujumbe wa ngazi za juu wa kigeni tangu lilipotokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

  • Erdogan: Marekani ichague ima Fathullah Gulen au Uturuki

    Erdogan: Marekani ichague ima Fathullah Gulen au Uturuki

    Aug 11, 2016 08:57

    Katika kile kinachoonekana kuendelea kuingia doa uhusiano kati ya Ankara na Washington, Rais wa Uturuki ametoa machaguo mawili kwa Marekani.

  • Velayati: Iran, Uturuki zina nafasi chanya katika ulimwengu wa Kiislamu

    Velayati: Iran, Uturuki zina nafasi chanya katika ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 31, 2016 23:34

    Mshauri wa Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zina nafasi muhimu katika kuboresha mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Uturuki yawapiga kalamu nyekundu wanajeshi 1,400

    Uturuki yawapiga kalamu nyekundu wanajeshi 1,400

    Jul 31, 2016 11:49

    Uturuki imewapiga kalamu nyekundu takriban maafisa 1,400 wa jeshi la nchi hiyo, wanaotuhumiwa kuwa na uhusiano na Fethullah Gulen, raia wa nchi hiyo anayeishi Marekani anayetuhumiwa kupanga mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli.

  • Amnesty yatiwa wasiwasi na ukandamizaji na kamatakamata Uturuki

    Amnesty yatiwa wasiwasi na ukandamizaji na kamatakamata Uturuki

    Jul 25, 2016 03:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza masikitiko yake juu ya kukithiri ukandamizaji, kamata kamata na ukiukaji wa haki za binadamu nchini Uturuki, baada ya jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli.

  • Askari kadhaa walichinjwa hadharani Uturuki baada ya jaribio la mapinduzi

    Askari kadhaa walichinjwa hadharani Uturuki baada ya jaribio la mapinduzi

    Jul 23, 2016 12:36

    Duru za habari nchini Uturuki zimeripoti kwamba, askari waliojaribu kufanya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli hivi karibuni nchini Uturuki, walikubwa na ukatili wa kutisha ikiwemo kuuawa, kuchinjwa au kukatwa viungo vyao vya mwili.

  • Jaribio la mapinduzi Uturuki; 50,000 wakamatwa na kupigwa kalamu

    Jaribio la mapinduzi Uturuki; 50,000 wakamatwa na kupigwa kalamu

    Jul 20, 2016 03:07

    Jaribio la mapunduzi ya kijeshi lililofeli nchini Uturuki limesababisha wafanyakazi 45,000 wa serikali kupigwa kalamu nyekundu huku wengine zaidi ya 5,000 wakizuiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mapinduzi hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS