-
Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo
Aug 19, 2016 12:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Mevlut Cavusoglu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa muda wa masaa matano.
-
Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria
Aug 19, 2016 03:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, mazungumzo ya pande tatu yanayoendelea baina ya nchi hiyo na Iran na Uturuki kuhusu Syria ni yenye taathira chanya.
-
Safari ya Zarif Uturuki; fupi lakini ya mafanikio mengi
Aug 14, 2016 01:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif, siku ya Ijumaa alifanya safari ya siku moja nchini Uturuki; safari fupi lakini iliyokuwa na mafanikio mengi. Katika safari yake hiyo Zarif alikutana na kufanya mazungumzo na waziri mwenzake wa Uturuki pamoja na Rais wa nchi hiyo.
-
Waziri Zarif afanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara
Aug 12, 2016 22:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki huko mjini Ankara katika safari ya kwanza muhimu kufanywa na ujumbe wa ngazi za juu wa kigeni tangu lilipotokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
-
Erdogan: Marekani ichague ima Fathullah Gulen au Uturuki
Aug 11, 2016 08:57Katika kile kinachoonekana kuendelea kuingia doa uhusiano kati ya Ankara na Washington, Rais wa Uturuki ametoa machaguo mawili kwa Marekani.
-
Velayati: Iran, Uturuki zina nafasi chanya katika ulimwengu wa Kiislamu
Jul 31, 2016 23:34Mshauri wa Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zina nafasi muhimu katika kuboresha mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Uturuki yawapiga kalamu nyekundu wanajeshi 1,400
Jul 31, 2016 11:49Uturuki imewapiga kalamu nyekundu takriban maafisa 1,400 wa jeshi la nchi hiyo, wanaotuhumiwa kuwa na uhusiano na Fethullah Gulen, raia wa nchi hiyo anayeishi Marekani anayetuhumiwa kupanga mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli.
-
Amnesty yatiwa wasiwasi na ukandamizaji na kamatakamata Uturuki
Jul 25, 2016 03:36Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza masikitiko yake juu ya kukithiri ukandamizaji, kamata kamata na ukiukaji wa haki za binadamu nchini Uturuki, baada ya jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli.
-
Askari kadhaa walichinjwa hadharani Uturuki baada ya jaribio la mapinduzi
Jul 23, 2016 12:36Duru za habari nchini Uturuki zimeripoti kwamba, askari waliojaribu kufanya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli hivi karibuni nchini Uturuki, walikubwa na ukatili wa kutisha ikiwemo kuuawa, kuchinjwa au kukatwa viungo vyao vya mwili.
-
Jaribio la mapinduzi Uturuki; 50,000 wakamatwa na kupigwa kalamu
Jul 20, 2016 03:07Jaribio la mapunduzi ya kijeshi lililofeli nchini Uturuki limesababisha wafanyakazi 45,000 wa serikali kupigwa kalamu nyekundu huku wengine zaidi ya 5,000 wakizuiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mapinduzi hayo.