Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikosi vya usalama

  • Wanazuoni wawili wa Kishia wa Saudia watiwa mbaroni Makka

    Wanazuoni wawili wa Kishia wa Saudia watiwa mbaroni Makka

    Sep 01, 2016 03:54

    Askari usalama wa Saudi Arabia wamewatia mbaroni wanazuoni wawili wa Kishia wa nchini humo.

  • Kiir akataa azimio la kutumwa askari 4,000 zaidi Sudan Kusini

    Kiir akataa azimio la kutumwa askari 4,000 zaidi Sudan Kusini

    Aug 14, 2016 07:40

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amekataa azimio lililopasishwa Ijumaa iliyopita na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kutumwa askari 4,000 zaidi wa kigeni nchini humo.

  • UN yakaribisha hatua ya Juba kukubali kutumwa askari wa kikanda

    UN yakaribisha hatua ya Juba kukubali kutumwa askari wa kikanda

    Aug 08, 2016 07:49

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Sudan Kusini kukubali pendekezo la kutumwa askari wa kieneo nchini humo kufuatia mapigano ya ndani kati ya askari watiifu kwa Rais Salva Kiir na wafuasi wa aliyekuwa makamu wake, Riek Machar.

  • Sudan Kusini yakubali kutumwa askari wa kieneo nchini

    Sudan Kusini yakubali kutumwa askari wa kieneo nchini

    Aug 06, 2016 06:55

    Serikali ya Sudan Kusini imekubali pendekezo la jumuiya ya kieneo ya IGAD la kutumwa askari wa kulinda amani nchini humo, suala ambalo awali lilikuwa limepingwa vikali na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo.

  • Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Aug 05, 2016 04:15

    Askari usalama wa Somalia wamefanya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la al Shabab na kuuwa wanamgambo kadhaa.

  • Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Jul 01, 2016 07:59

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuongeza muda wa kuhudumu vikosi vya kimataifa vya kusimamia amani huko Daruf UNAMID kwa mwaka mmoja zaidi.

  • Sudan yalalamikia hatua ya UN kuongeza muda wa UNAMID

    Sudan yalalamikia hatua ya UN kuongeza muda wa UNAMID

    Jun 20, 2016 07:02

    Sudan imemuita mkuu wa vikosi vya kimataifa vya kusimamia amani huko Daruf UNAMID, kulalamikia hatua ya kuongezewa muda wa kuhudumu vikosi hivyo vyenye askari 20,000 kutoka nchi 30 duniani.

  • Kushadidishwa ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi

    Kushadidishwa ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi

    Jun 14, 2016 02:28

    Mfalme wa Bahrain amepiga marufuku shughuli za kisiasa za wanazuoni nchini humo lengo likiwa ni kushadidisha ukandamizaji kwa malalamiko ya raia wa nchi hiyo.

  • Wanazuoni Bahrain wapigwa marufuku kuendesha shughuli za kisiasa

    Wanazuoni Bahrain wapigwa marufuku kuendesha shughuli za kisiasa

    Jun 12, 2016 13:14

    Mfalme wa Bahrain ametoa dikrii ya kubadilishwa baadhi ya vipengee vya kisheria kuhusu vyama vya kisiasa.

  • Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?

    Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?

    May 07, 2016 07:42

    Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS