Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Sep 09, 2017 03:12

    Kiongozi wa upinzani nchini Togo amesema maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali ya nchi hiyo yataendelea kushuhudiwa madhali Rais Faure Gnassingbe wa nchi hiyo ataendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Juhudi za wapinzani wa serikali Afrika Kusini za kumuondoa madarakani Jacob Zuma

    Juhudi za wapinzani wa serikali Afrika Kusini za kumuondoa madarakani Jacob Zuma

    Sep 06, 2017 05:45

    Vyama vya upinzani nchini Afrika Kusini vimeanzisha mikakati mipya ya kumsaili na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma kwa kuwasilisha mashtaka katika Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo.

  • Upinzani Afrika Kusini waanzisha jitihada mpya za kumuuzulu Zuma

    Upinzani Afrika Kusini waanzisha jitihada mpya za kumuuzulu Zuma

    Sep 05, 2017 23:11

    Vyama vya upinzani nchini Afrika Kusini vimeanzisha jitihada mpya za kumuondoa madarakani Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ambaye tayari anaandamwa na kesi chungu nzima za ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka.

  • Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Odinga: Nitashiriki uchaguzi wa marudio Kenya kwa masharti

    Sep 05, 2017 09:29

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema muungano wa upinzani wa NASA hautashiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Oktoba 17 iwapo masharti waliyoyatoa hayatatekelezwa.

  • Wito wa serikali ya DRC kwa wapinzani wa kushiriki katika mazungumzo

    Wito wa serikali ya DRC kwa wapinzani wa kushiriki katika mazungumzo

    Sep 04, 2017 08:17

    Kufuatia kushadidi mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Waziri wa Uchumi wa nchi hiyo amewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.

  • Serikali ya DRC yawaita wapinzani katika meza ya mazungumzo

    Serikali ya DRC yawaita wapinzani katika meza ya mazungumzo

    Sep 03, 2017 23:50

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.

  • Kiongozi wa upinzani Zambia: Hatufikirii kulipiza kisasi

    Kiongozi wa upinzani Zambia: Hatufikirii kulipiza kisasi

    Aug 29, 2017 22:44

    Kiongozi wa mrengo wa upinzani huko Zambia jana aliahidi kuwa hana lengo la kulipiza kisasi kufuatia hukumu aliyopewa ya kifungo cha miezi minne jela kwa tuhuma za kutenda jinai.

  • Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Aug 27, 2017 03:09

    Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.

  • Upinzani Kenya kuieleza mahakama jinsi teknolojia ilivyowezesha wizi wa kura

    Upinzani Kenya kuieleza mahakama jinsi teknolojia ilivyowezesha wizi wa kura

    Aug 22, 2017 11:00

    Mrengo wa upinzani nchini Kenya umesema kuwa utathibitisha mbele ya Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo kwamba teknolojia ilifanikisha kuliko kuzuia wizi wa kura wakati wa uchaguzi mkuu nchini humo hivi karibuni, ikiwa ni katika juhudi za mrengo huo za kutaka kubadilisha kura alizoshinda Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo uliofanyika mwanzoni mwa mwezi huu.

  • Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini

    Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini

    Aug 16, 2017 09:51

    Kinara wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema ameachiwa huru na kutoka gerezani hii leo baada ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma kumfutia mashtaka ya uhaini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS