Jul 02, 2016 09:10 UTC

Baada ya kuzidiwa nguvu katika mji muhimu na wa kiistratijia wa Fallujah nchini Iraq, kundi la Daesh (ISIS) liliamua kukimbia kwenye msafara mkubwa wa magari kuelekea upande wa Syria kwa ajili ya kuunganisha nguvu upya. Hata hivyo jeshi la anga la Iraq liliushambulia vikali msafara huo wa Daesh kama inavyoonesha video hii kutoka Wizara ya Ulinzi ya Iraq.

Tags