-
Kadhia ya Palestina ndicho kipaumbele muhimu zaidi kwa Waislamu wa Marekani
Jul 10, 2022 22:06Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa Waislamu wengi wa nchi hiyo wanalichukulia suala la Palestina kuwa ndicho kipaumbele kikuu kwao.
-
Tahadhari kuhusu uwezekano wa kusambaratika usitishaji vita nchini Yemen
Jul 10, 2022 22:04Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuanzishwa tena operesheni za kijeshi, akiashiria ukiukaji vita wa mara kwa mara unaofanywa na muungano wa kijeshi wa Saudia.
-
Hizbullah: Operesheni ya droni kwenye machimbo ya gesi ya Karish imeilazimu Israel kubadili msimamo
Jul 10, 2022 04:49Afisa mwandamizi wa Hizbullah amesema droni tatu (ndege zisizo na rubani) za harakati hiyo ambazo zilitumwa kwenye machimbo ya gesi ya Karish wiki hii zilikuwa na "athari ya haraka" wakati wa mazungumzo ya kuweka mpaka wa bahari kati ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Washirika wa Saudia huko Yemen wabomoa msikiti wa kihistoria, ulikuwa na umri wa miaka 700
Jul 10, 2022 03:42Idara ya Wakfu ya Yemen metangaza kuwa, kundi la kigaidi la Al-Qaeda lenye mfungamano na Saudi Arabia limeharibu sehemu kubwa ya Msikiti wa Al-Nour katika wilaya ya Al-Khukha mkoani al Hudaydah.
-
Safari ya kwanza ya Bashar Assad mjini Aleppo (Halab)
Jul 10, 2022 02:40Rais Bashar al-Assad wa Syria aliutembele mji wa Aleppo (Halab) siku ya Ijumaa na sambamba na kushiriki katika swala ya Eid al-Adha, alizindua miradi kadhaa ya kiuchumi na maendeleo katika mji huo.
-
Mchambuzi Mzayuni: Uwezo wa kijeshi wa anga wa Hizbullah umekuwa mkubwa zaidi
Jul 09, 2022 22:17Mchambuzi mmoja wa chaneli ya 14 ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa harakati ya muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon ya Hizbullah imekuwa na nguvu na uwezo mpya wa kijeshi katika uga wa angani.
-
HAMAS: Watawala Waarabu waliohadaiwa waangalie upya uamuzi wao
Jul 09, 2022 22:15Mkuu wa ofisi ya uhusiano na nchi za Kiarabu na Kiislamu ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, watawala Waarabu waliohadaiwa wakaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, waangalie upya uamuzi wao huo waliochukua.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Saudia inawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza Hija kwa sababu za kisiasa
Jul 09, 2022 05:18Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Saudi Arabia unawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza ibada ya Hija kwa sababu ya misimamo ya kisiasa ya ukoo wa Aal Saud au misimamo ya Marekani na Israel dhidi ya Waislamu hao.
-
Makundi ya muqawama Palestina yamkosoa Abbas kukutana na Gantz
Jul 09, 2022 03:05Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amekosolewa vikali na makundi ya muqawama ya Palestina, kwa kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benny Gantz.
-
EU yaonya kuhusu Israel kuwatimua Wapalestina Masafer Yatta
Jul 08, 2022 23:04TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia mwandamizi wa Umoja wa Ulaya ameelezea wasiwasi wake kuhusu uwezekano wa idadi kubwa ya Wapalestina kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo la mashambani katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.