-
Zaidi ya Wayemeni milioni 19 wanakabiliwa na njaa huku misaada ikipunuga
Jun 29, 2022 06:19Wakati Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) likitangaza upunguzaji mkubwa wa msaada wa chakula nchini Yemen, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inasema zaidi ya Wayemeni milioni 19 sasa wanakabiliwa na njaa, na hivyo kuweka rekodi mpya tangu kuanza kwa vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen ambavyo vilianza mwaka 2015.
-
Najib Miqati: Serikali ijayo ya Lebanon itatatua suala la mipaka na umeme
Jun 29, 2022 03:14Waziri Mkuu wa Lebanon aliyechaguliwa kwa mara ya nne katika wadhifa huo na kupewa jukumu la kuunda baraza la mawaziri amesema kuwa, serikali mpya ya nchi hiyo italipatia ufumbuzi suala la kuianisha mipaka ya baharini kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni na kadhia ya umeme.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan: Amman inataka kuwa na uhusiano mwema na Tehran
Jun 29, 2022 03:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan amesisitiza kuimarisha uhusiano kati ya nchi yake na Iran.
-
Hamas: Jamii ya kimataifa ikomeshe uchokozi wa Wazayuni
Jun 28, 2022 05:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaka jamii ya kimataifa itekeleze wajibu wake wa kusimamisha hujuma ya Wazayuni katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem).
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds
Jun 27, 2022 22:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.
-
Ripoti: Wazayuni wamewaua shahidi watoto 15 wa Kipalestina
Jun 27, 2022 06:51Ripoti mpya ya shirika moja la kutetea haki za watoto imesema askari makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi watoto 15 wa Palestina.
-
Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudia umepora mapipa laki nne ya mafuta ya Yemen
Jun 27, 2022 03:16Meli moja ya mafuta ya kigeni inayomilikiwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia imeondoka katika mkoa wa Shabwah, kusini mashariki ya Yemen baada ya kupora mapipa laki nne ya mafuta ghafi ya nchi hiyo.
-
Hania: Makombora 150 yatausambaratisha utawala wa Kizayuni chini ya dakika tano
Jun 26, 2022 23:22Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa, msikiti wa al Aqsa unakaribia kukombolewa na kusisitiza kuwa, makombora 150 yatauangamiza utawala wa Kizayuni katika muda wa chini ya dakika tano.
-
Kuimarishwa ushirikiano wa kiusalama na kiintelijensia kati ya Uturuki na utawala bandia wa Israel
Jun 26, 2022 20:52Katika hali ambayo utawala wa Kizayuni wa Israel umesisitiza kuwa hauko tayari kuipatia fursa za upendeleo Uturuki hususan katika usafirishaji gesi kwa ajili ya nchi za Umoja wa Ulaya ili kustawishwa uhusiano baina yao, serikali ya Recep Tayyip Erdoğan ingali inaendelea kupaparika upande wake kutaka kupanua na kustawisha uhusiano na utawala huo wa ubaguzi wa rangi.
-
Ripoti: Wanaharakati wa kisiasa Saudia wanabakwa na kuuawa magerezani
Jun 26, 2022 06:46Ripoti mpya iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Grant Liberty kwa mara nyingine tena imeweka wazi rekodi mbaya na nyeusi ya utawala wa Saudi Arabia katika suala la haki za binadamu, hususan baada ya Muhammad Bin Salman, Mrithi wa Ufalme Saudia kuchukua udhibiti wa mamlaka.