-
Mwigizaji wa Hollywood: Trump ni gaidi na mhalifu
Mar 18, 2026 06:23Mwigizaji maarufu wa Marekani Morgan Freeman ameandika katika ukurasa wake binafsi kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Donald Trump ni gaidi, mbaguzi wa rangi na mhalifu, na kwamba Ikulu ya White House inapaswa kuhesabiwa kuwa ni shirika la kigaidi.
-
Amnesty International: Marekani lazima iwajibishwe kwa uhalifu katika Shule ya Minab nchini Iran
Mar 18, 2026 05:53Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba Marekani lazima iwajibishwe kwa mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran.
-
"Israel inadanganya, Iran haitutishii": Afisa wa ujasusi aliyeteuliwa na Trump ajiuzulu kwa sababu ya vita na Iran
Mar 18, 2026 04:57Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani amejiuzulu baada ya kufichua yanayojiri nyuma ya pazia kuhusu vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran.
-
Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara
Mar 18, 2026 04:55Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo kuwa ni mjinga kwa kufuata kibubusa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mfumo Mpya wa Dunia
Mar 17, 2026 08:48Je, hadi sasa umewahi kufikiria mfumo huu unaotawala dunia ulitoka wapi?
-
Politico: Marekani inachukiwa sana kuliko Wamarekani wanavyodhani
Mar 17, 2026 06:59Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kuwa sura ya Marekani ni mbaya sana miongoni mwa raia wa nchi waitifaki wa nchi hiyo duniani kwa kiasi ambacho hakiingii hata katika fikra na akili za Wamarekani.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kushiriki vita dhidi ya Iran
Mar 17, 2026 04:43Kansela wa Ujerumani, amejibu ombi la Donald Trump la kutaka ushiriki wa Berlin katika operesheni ya kijeshi ya Marekani katika Lango Bahari la Hormuz, na kusema wazi kuwa Ujerumani haitashiriki katika vita dhidi ya Iran.
-
Daily Mail: Trump amekwama kwenye kinamasi
Mar 16, 2026 10:32Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa Iran imethibitisha kuwa ina nguvu na imejiandaa vizuri sana kuliko vile ilivyokuwa ikidhaniwa na Marekani.
-
Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 16, 2026 10:30Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.
-
Guardian: Dunia itakumbwa na mgogoro wa chakula vita dhidi ya Iran vikiendelea
Mar 16, 2026 04:38Mkuu wa moja ya kampuni kubwa zaidi za mbolea duniani amenukuliwa na gazeti la The Guardian akionya kuwa, usambazaji wa chakula duniani utaathiriwa vibaya sana mwaka huu iwapo vita dhidi ya Iran vitapanuka na kuendelea.