-
Marefa wanawake wachezesha mechi ya Kombe la Dunia 2022 kwa mara ya kwanza katika historia
Dec 02, 2022 10:46Kwa mara ya kwanza marefa watatu wanawake wamechezesha mechi ya kandanda ya Kombe la Dunia kati ya timu za taifa za Costa Rica na Ujerumani katika kundi E la mashindano yanayofanyika nchini Qatar.
-
Pigo jingine kwa Wazayuni, Morocco yasherehekea kwa bendera ya Palestina, kupanda Kombe la Dunia + Video
Dec 02, 2022 08:01Katika hali ambayo serikali ya Morocco imetangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu na ya Waislamu, wamezidi kuonesha kutokubaliana na uamuzii huo wa utawala wa kifalme wa Morocco.
-
Iran: Kombe la Dunia limeonesha namna utawala wa Kizayuni unavyochukiwa na walimwengu
Nov 30, 2022 13:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unachukiwa na mataifa mengi ya dunia.
-
Wapalestina waunga mkono Timu ya Soka ya Iran kabla ya mchuano wa Kombe la Dunia na Marekani
Nov 29, 2022 13:43Mashabiki wa soka wa Palestina wameonyesha uungaji mkono mkubwa kwa timu ya taifa ya kandanda ya Iran, iliyopewa jina la utani la Team Melli, kabla ya mechi muhimu ya Kombe la Dunia dhidi ya Marekani leo usiku.
-
Ghana yapata ushindi muhimu katika kombe la dunia baada ya kuitandka Korea Kusini mabao 3-2
Nov 29, 2022 07:46Ghana ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa Salisu Mohamed katika dakika ya 24 na kuongeza bao la pili dakika 10 baadaye kupitia kwa Mohamed Kudus na mpaka mapumziko Ghana ilikuwa inaongoza bao 2-0.
-
Brazil yaipiku Ujerumani Kombe la Dunia
Nov 29, 2022 06:49Timu ya Taifa ya Brazil imeipiku Timu ya Taifa ya Ujerumani katika rekodi za Kombe la Dunia la mpira wa miguu.
-
Kombe la Dunia, Iran yaipongeza Qatar, yasisitiza kuimarishwa uhusiano wa pande zote
Nov 29, 2022 03:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza Qatar kwa kuendesha vizuri mashindano ya Kombe la Dunia la mpira wa miguu 2022 na kusisitizia wajibu wa kuimarishwa uhusiano wa Tehran na Doha katika nyuga zote.
-
Cameroon yatoka sare 3-3 na Serbia na kuwa na matumaini ya kusonga mbele
Nov 28, 2022 13:21Timu ya taifa ya soka ya Cameroon imebakisha hai matumaini ya kutinga katika hatua ya 16 bora ya mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar baada ya kupambana kiume na kutoka sare ya mabao 3-3 na Serbia katika mchuano uliokuwa na ushindani mkubwa.
-
Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa
Nov 28, 2022 11:33Gazeti la Marca la Uhispania limeitaja mechi ya soka ya michuano ya Kombe la Dunia kati ya timu ya taifa ya kandanda ya Iran na Marekani kuwa ni mpambano mkubwa wa kisiasa.
-
Shirikisho la Soka la Marekani lasalimu amri mkabala wa Iran
Nov 28, 2022 07:02Shirikisho la Soka la Marekani limelazimika kuondoa bendera ya Iran isiyo na nembo halisi ya Jamhuri ya Kiislamu kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, na kuweka iliyo sahihi, kufuatia malalamiko ya Tehran.