Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Ufufuo


May 04, 2016 10:46 UTC
Jiunge
Vipindi Vingine
  • Muharram
    Muharram
  • Leo katika Historia
    Leo katika Historia
  • Aya na Hadithi
    Aya na Hadithi
  • Dini
    Dini
  • Familia Salama
    Familia Salama
  • Tuujue Uislamu
    Tuujue Uislamu
  • Dua za Ramadhani
    Dua za Ramadhani

  • 17
    Ufufuo na Marejeo ya Mja kwa Allah (17)
    Katika makala ya wiki iliyopita tulizungumzia taathira ya amali na matendo mema na mabaya ya mja katika hatima yake. Makala yetu ya leo itazungumzia ulimwengu wa Barzakhi ambao ndio nyumba ya kwanza ya mwanadamu baada kifo na kufariki dunia.
  • 16
    Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu kwa Mola (16)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya makala hii ambayo hukujieni kila wiki.  
  • 15
    Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu kwa Mwenyezi Mungu (15)
    Katika makala iliyopita tulizungumzia Malaika wa Mauti na wanadamu anavyotolewa roho kwa njia tofauti. Tulisema kuwa, kila mtu anayefariki dunia humuona malaika huyo wakati wa kutokwa na roho kulingana na matendo na amali zake hapa duniani. Leo tutatupia jicho hali za waumini na makafiri wakati wa mauati na kutokwa roho.
  • 14
    Ufufuo (14)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wapenzi wasikilizaji wa kuwa nanyi katika sehemu ya 14 ya kipindi cha maadi na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika kipindi cha wiki iliyopita tulizungumzia dakika na nyakati za mwisho za uhai wa mwanadamu duniani na kipindi cha sakaratul mauti na kukata roho.
  • 13
    Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (13)
    Bismillahir Rahmanir Rahim. Hii ni sehemu ya 13 ya kipindi cha Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah. Katika vipindi kadhaa vilivyopita tulizungumzia hakika ya mauti.
  • 12
    Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (12)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Katika Makala iliyopita tulisema dunia ni utangulizi wa Akhera na wenzo wa kupata saada na ufanisi wa milele. Dunia ni sehemu ya kazi na amali na Akhera ni mahala pa kuchuma na matokeo ya kazi na amali. Vilevile tulisisitizia kuwa, kutadabari na kufikiria daima suala hilo la ufufuo huwa na taathira kubwa katika maisha ya kidunia ya mwanadamu. Hata hivyo hapana budi kuzingatia njia ya kati na kati na kutochupa mpaka katika suala hili.
  • 11
    Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu (11)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine na kipindi chetu cha leo. Katika kipindi kilichopita tulisema kwamba, dunia ni utangulizi wa harakati na safari ya mja kuelekea kwenye ulimwengu wa milele, usio na mwisho na wa kudumu.
  • 10
    Ufufuo na Safari ya Kuelekea kwa Allah (10)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya Makala hii inayozungumzia hatima ya mwanadamu na safari yake ya kurejea kwa Mola Muumba. Katika Makala ya wiki iliyopita tulisema kuwa, dunia ni shamba la Akhera na kwamba matunda ya dunia yanachumwa huko katika ulimwengu mwingine.
  • 9
    Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu kwa Allah (9)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi wapenzi wasikilizaji katika dakika chache za kipindi hiki cha kila wiki. Katika kipindi kilichopita tulizungumzia maudhui ya kifo na mauti na maisha ya milele ya wanadamu. Tulisema kuwa, kupitia kifo na mauti, mwanadamu huhamia katika ulimwengu mwingine wa Akhera katika safari yake ya kufikia ukamilifu.
  • 8
    Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (8)
    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki kinachozungumzia maadi na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika baadhi ya vipindi vilivyopita tulisema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa milele ni itikadi ya kifitra na kimaumbile.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS