Makala Mchanganyiko
  • Sifa za kipekee za Kamanda Qassem Soleimani

    Sifa za kipekee za Kamanda Qassem Soleimani

    Jan 09, 2023 10:02

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokuijieni kwa mnasaba wa kukumbuka tukio la kuuliwa kigaidi aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Meja Jenerali Qasem Soleimani. Leo tunazungumzia sifa za kipekee za kamanda huyo aliyeuwa katika hujuma ya kigaidi ya jeshi la Marekani akiwa safarini nchini Iraq.

  • Tafakuri kuhusu kusitishwa uanachama wa Iran katika Kamati ya Hadhi ya Wanawake ya UN

    Tafakuri kuhusu kusitishwa uanachama wa Iran katika Kamati ya Hadhi ya Wanawake ya UN

    Jan 08, 2023 02:46

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi cha Makala ya Wiki ambacho leo kitatupia jicho hatua ya kusitishwa uanachama wa Iran katika Kamisheni ya Hadhi ya Wanawake ya UN.

  • Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Jan 03, 2023 09:17

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.

  • Mukhtasari wa Maisha na Historia ya Shahidi Haj Qassem Soleimani

    Mukhtasari wa Maisha na Historia ya Shahidi Haj Qassem Soleimani

    Jan 01, 2023 12:22

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale yanapokufikieni matangazo haya kutoka hapa mjini Tehran.

  • Kumbukumbu ya Siku ya Kuanzishwa Harakati ya Kupambana na Ujinga nchini Iran

    Kumbukumbu ya Siku ya Kuanzishwa Harakati ya Kupambana na Ujinga nchini Iran

    Dec 31, 2022 13:20

    Moja kati ya haki za msingi za binadamu katika jamii yoyote ile ni kujua kusoma na kuandika.

  • Hamasa ya tarehe 9 Dei; Siku ya Ung'amuzi na Muono wa Mbali

    Hamasa ya tarehe 9 Dei; Siku ya Ung'amuzi na Muono wa Mbali

    Dec 31, 2022 08:22

    Tarehe 9 Dei mwaka 1388 Hijria Shamsia iliyosadifiana na tarehe 30 Disemba 2009, mamilioni ya wananchi wa Tehran na miji mingine hapa nchini walifanya maandamano makubwa kulalamikia machafuko ya barabarani na himaya ya madola ya Magharibi kwa machafuko hayo.

  • Kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Issa Masih (as)

    Kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Issa Masih (as)

    Dec 30, 2022 11:04

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasiklilizaji popote pale mlipo. Karibu kkutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujienii kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa Masih (as) Mtume na mja wa Mwenyezi Mungu. Nataraji mtakuwa pamoja nami hadi mwisho wa dakika hizi chache. Karibuni.

  • Kombe la Dunia Qatar 2022, uwanja wa kutangaza uungaji mkono kwa Palestina

    Kombe la Dunia Qatar 2022, uwanja wa kutangaza uungaji mkono kwa Palestina

    Dec 15, 2022 08:19

    Wakati tunakaribia siku za mwisho za mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022, wimbi la uungaji mkono wa watu wa Qatar, Waislamu na wapenda haki kote duniani kwa Palestina, limekuwa la kushangaza na kusisimua sana.

  • Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Dec 08, 2022 09:06

    Tarehe 13 Jumadil-Awwal, ni siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi binti wa Mtume wetu, Muhammad al Mustafa (saw), Bibi Fatimatu Zahra (as) na siku ya maombolezo ya Waislamu hususan wapenzi wa Ahlul Bait (as).