-
Fatima Maasuma, Kigezo cha Elimu na Utakasifu
Jan 08, 2017 07:10Tarehe 10 Rabiuthani ulimwengu wa Kiislamu unakuwa katika makiwa na msiba wa kuondokewa na mwanamke adhimu ambaye katika siku za mwishoni mwa umri wake, aliipamba ardhi ya Iran yaani mji wa Qum baada ya kuelekea katika eneo hilo na kufariki dunia katika mji huo.
-
Syria na hujuma ya vyombo vya habari vya Magharibi
Jan 04, 2017 08:15Mji wa Halab au Aleppo ulioko kaskazini mwa Syria umeshuhudia matukio mengi na ya aina mbalimbali katika kipindi cha miaka elfu tatu ya umri wake. Sehemu kubwa ya mji huo mkongwe sasa imeharibiwa na kuwa magofu katika miaka minne ya vita na mashambulizi ya makundi mbalimbali ya kigaidi.
-
9 Dei, Siku ya Mwamko na Kushikamana na Wilaya
Dec 29, 2016 07:54Ni jambo linalojulikana na wanadamu wote kwamba, hakuna mtu anayeweza kuainisha jinsi ya kuzaliwa au kufariki kwake dunia. Hata hivyo jamii ambayo kama alivyo mwanadamu, inazaliwa na kufa, huwa na taathira katika kubakia hai na katika kufa kwake.
-
Filamu ya "Muhammad Rasulullah" yaoneshwa nchini Uturuki
Dec 11, 2016 07:54Tarehe 28 mwezi wa Oktoba filamu ya Muhammad, Mtume wa Mwenyezi Mungu ambayo imetengenezwa nchini Iran ilionyeshwa katika kumbi 300 za sinema nchini Uturuki baada ya kutarjumiwa kwa lugha ya Kituruki na kuambatana na maandishi ya lugha ya Kiingereza.
-
9 Rabiul Awwal, Siku ya Kuanza Uongozi wa Imam wa Zama
Dec 08, 2016 13:13Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nami katika Makala ya Wiki hii ambayo itazungumzia siku ya kuanza uongozi wa Imam wa Zama, Imam Mahdi (as) Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake.
-
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hassan al Askari AS
Dec 07, 2016 05:45Kwa mara nyingine leo tunakumbuka tukio la kuuawa shahadi mmoja wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu SAW naye si mwingine isipokuwa ni Imam Hassan Askari AS. Siku kama ya leo mwaka 260 Hijiria, ulimwengu ulipatwa na huzuni ya kuondokewa na Imam Hassan Askari AS, ambaye ni miongoni mwa wajukuu wa Mtume Muhammad SAW.
-
Siku ya Kimataifa ya Ukimwi
Dec 01, 2016 01:47Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni katika Makala ya Wiki ambayo juma hili inazungumzia Siku ya Kimataifa ya Ukimwi inayoadhimishwa kila mwaka tarehe Mosi Disemba.
-
Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa
Nov 09, 2016 07:57Tarehe 13 mwezi Aaban mwaka wa Hijria Shamsia ambayo mwaka huu inasadifiana na tarehe 3 Novemba, inatambuliwa hapa nchini Iran kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa.
-
UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas
Nov 09, 2016 07:46Eneo la Baitul Muqaddas (Jerusalem) na Haram tukufu ya Msikiti wa al Aqsa limekuwa likizusha hitilafu na migogoro kwa miaka mingi.
-
Hekima na busara katika fikra za Imam Musa al Kadhim AS
Nov 06, 2016 14:50Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Imam Mussa al Kadhim AS. Ni matumaini yangu utakuwa nami hadi mwisho wa makala hii.