Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Aya na Hadithi

Jan 16, 2018 10:19 UTC
Vipindi Vingine
  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu
    Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu
  • Utakfiri Duniani
    Utakfiri Duniani
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
  • Hikma za Nahjul Balagha
    Hikma za Nahjul Balagha
  • Mitandao ya Kijamii
    Mitandao ya Kijamii
  • Ulimwengu wa Michezo
    Ulimwengu wa Michezo
  • Akhlaqi katika Uislamu
    Akhlaqi katika Uislamu

  • 18
    Aya na Hadithi (18)
    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikilizaji sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi.
  • 17
    Aya na Hadithi (17)
    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 17 ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi ambapo kwa leo tutajadili na kupitia maandiko matakatifu yanayotufahamisha lengo kuu la kuumbwa kwetu wanadamu humu duniani na faida tutakazopata ikiwa tutafikia lengo hilo.
  • 16
    Aya na Hadithi (16)
    Assalaamu Alaykum wapezi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.
  • 15
    Aya na Hadithi (15)
    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi kingine cha Aya na Hadithi. Hakuna shaka kwamba kila mmoja wetu anapenda usomaji wake wa Kitabu Kitakatifu cha Mwenyezi Mungu uwe ni usomoji bora zaidi na unaostahiki kwa sababu tumemsikia Mwenyezi Mungu Mtukufu mwenyewe akiwasifu na kuwataja kwa wema wale wanaosoma vyema kama inavyostahiki kusomwa na kukipa haki Kitabu chake hicho.
  • 14
    Aya na Hadithi (14)
    Assalaam Aleikum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaha kukutana nanyi tena katika sehemu hii ya 14 ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi, ambayo itazungumzia Aya takatifu na Hadithi tukufu ambazo zinamtahadharisha mwanadamu dhidi ya kujishughulisha na mambo yanayompelekea kumsahau Muumba wake na matokeo mabaya ya jambo hilo.
  • 13
    Aya na Hadithi (13)
    Assalaama Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 13 ya kipindi hiki cha Aya na Hadithi ambapo kwa leo tutazungumzia baadhi ya maandiko matakatifu ambayo yanatuongoza kutambua baadhi ya miungu hatari na ya uongo inayomchuikiza zaidi Mwenyezi Mungu Mtukufu.
  • 12
    Aya na Hadithi (12)
    Assalaam Aleikum wapezi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhruri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.
  • 11
    Aya na Hadithi (11)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuko pamoja nanyi katika kipindi kingine cha Aya na Hadithi ambapo leo bado tutaendelea kuzungumzia Hadithi ambazo zinatuongoza katika kufahamu maana halisi ya neema ambayo imezungumziwa na Mwenyezi Mungu katika Aya ya mwisho ya Surat At-Takaathur ambapo wanadamu wote wataulizwa Siku ya Kiama kuhusiana na neema hii muhimu.
  • 10
    Aya na Hadithi (10)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kukutana nanyi tena katika sehemu hii ya 10 ya mfululizo wa vipindi vya Aya na Hadithi.
  • 9
    Aya na Hadithi (9)
    Assalaam Aleikum wasikilizaji wepenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 9 ya kipindi hiki kinachozungumzia Aya za Qur'ani Tukufu pamoja na Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Watu wa Nyumba yake tukufu (as).
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS