Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Ruwaza Njema

Sep 14, 2018 04:23 UTC
Vipindi Vingine
  • Hadithi ya Uongofu
    Hadithi ya Uongofu
  • Ufeministi
    Ufeministi
  • Tuujue Uislamu
    Tuujue Uislamu
  • Ufufuo
    Ufufuo
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
  • Aya na Hadithi
    Aya na Hadithi
  • Muharram
    Muharram

  • 17
    Ruwaza Njema (17)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na Karibuni kusikiliza sehemu ya 17 ya kipindi hiki cha Riwaza Njema ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuriya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka Tehran. Kipindi hiki kama mnavyojua huzungumzia maandiko na Hadithi tofauti ambazo huguzia visa mbalimbali vinavyohusiana na tabia njema na ya kuvutia ya Bwana Mtume (saw) ambapo sisi wafausi wake tunapasa kuiga na kuifuata katika maisha yetu ya kila siku.
  • 16
    Ruwaza Njema (16)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 16 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho huzungumzia Hadithi za watukufu mbalimbali na hasa wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saw) kuhusu tabia njema za Mtume huyo ambazo sote Waislamu tunapasa kuziiga na kuzifanyia kazi katika maisha yetu ya kila siku.
  • 15
    Ruwaza Njema (15)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema. Kipindi hiki kama mnavyojua huzungumzia Hadithi tofauti kutoka kwa watu wa Nyumba ya Mtume Mtukufu (saw) ambazo hutuongoza na kutuwezesha kuiga tabia njema za mtukufu huyo katika maisha yetu ya kila siku.
  • 14
    Ruwaza Njema (14)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Kama ilivyo kawaida yetu, katika kipindi hiki pia tutachambua baadhi ya Hadithi za kuaminika kutoka kwa watukufu wa Nyumba ya Mtume (saw) ili zitusaidie na kutuongoza katika njia nyoofu ya kuiga na kufuata mfano mwema wa tabia na nyendo za kuvutia za Mtume (saw) katika maisha yetu ya kila siku.
  • 13
    Ruwaza Njema (13)
    Assalaam Aleikum Wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambacho hutufafanulia visa na mifano tofauti ya sifa na tabia njema za Mtume Mtukufu (saw), ili nasi tupate kufuata na kujipamba kwa tabia hizo njema.
  • 12
    Ruwaza Njema (12)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya 12 katika mfululizo wa vipindi hivi vya Ruwaza Njema.
  • 11
    Ruwaza Njema (11)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 11 ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia sifa njema ya Mtume Mtukufu (saw) ambaye ni mbora wa viumbe, ya kusamehe watu na kuwaongoza kwenye heri kuu, hata tunapokuwa na uwezo wa kulipiza kisasi kwa mabaya waliyotufanyia.
  • 10
    Ruwaza Njema (10)
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfululizo wa vipindi vya Ruwaza Njema, ambapo huwa tunanufaika na baadhi ya Hadithi katika kufahamu na kufuata mfano mwema wa Mtume Mtukufu (saw) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na maisha yetu ya kimaanawi na kimaada.
  • 9
    Ruwaza Njema (9)
    Assalaam Alaykum. Ni siku nyingine ambayo tumejaaliwa kukutana nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki cha Ruwaza Njema ambapo kwa leo tutazungumzia tabia nyingine njema ya mbora wa viumbe, Mtume Mtukufu (saw) kuhusiana na jinsi ya kuamiliana vyema na Watu wa Kitabu yaani Wakristo wanaoishi katika kivuli cha serikali adilifu na inayofuata mafundisho ya Mwenyezi Mungu na namna alivyokuwa akifanya ibada zake, hivyo kuweni nasi hadi mwisho wa kipindi.
  • 8
    Ruwaza Njema (8)
    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS