• Hadithi ya Uongofu (51)

    Hadithi ya Uongofu (51)

    Sep 09, 2016 13:29

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.

  • Hadithi ya Uongofu (50)

    Hadithi ya Uongofu (50)

    Aug 30, 2016 09:30

    Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Tunakutana tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu cha leo ambacho ni sehemu ya 50 ya mfululizo huu kitazungumzo maudhui ya kuamrishana mema na kukatazana maovu. Kuweni name hadi mwisho wa kipindi hiki kutegea sikio niliyokuandalieni kwa leo.

  • Hadithi ya Uongofu (48)

    Hadithi ya Uongofu (48)

    Aug 05, 2016 08:36

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hadithi ya Uongofu (47)

    Hadithi ya Uongofu (47)

    Aug 05, 2016 08:31

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Natumai hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu kilichiopita kilijadili na kuzungumzia amana na utunzaji amana. Kipindi chetu cha leo ambacho ni sehemu ya 47 ya mfululizo huu kitazungumzia baadhi ya athari za utunzaji amana. Kuweni nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Hadithi ya Uongofu (46)

    Hadithi ya Uongofu (46)

    Jul 10, 2016 07:08

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni tena kujiunga nami katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Juma lililopita tulizungumzia udugu wa Kiislamu na kubainisha umuhimu wa jambo hilo pamoja na athari zake katika jamii.

  • Hadithi ya Uongofu (45)

    Hadithi ya Uongofu (45)

    Jul 10, 2016 07:06

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na tunakutana tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu kilichopita kilizungumzia suala la Swilat Rahm yaani kuunga udugu na tulielezea umuhimu wa jambo hili kijamii na kidini na pia athari zake kimaada na kimaanawi.

  • Hadithi ya Uongofu (44)

    Hadithi ya Uongofu (44)

    Jul 10, 2016 07:04

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.

  • Hadithi ya Uongofu (43)

    Hadithi ya Uongofu (43)

    Jul 10, 2016 07:01

    Ni wasaa na wakati mwingine mpenzi msikilizaji unapokutana nami katika kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu, kipindi ambacho hujadili masuala mbalimbali ya kijamii, kidini, kimaadili na kadhalika na kunukuu hadithi za miongozo kuhusiana na maudhui hizo.

  • Hadithi ya Uongofu (42)

    Hadithi ya Uongofu (42)

    May 23, 2016 09:53

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni tena kujiunga nami katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kuwafanyia wema na hisani watu wengine ni miongoni mwa vitendo vizuri na kinachosifiwa na ambacho kinaungwa mkono na akili na ada za kijamii.

  • Hadithi ya Uongofu (41)

    Hadithi ya Uongofu (41)

    May 23, 2016 09:49

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chtu cha juma lililopita kilijadili na kuzungumzia sifa na tabia mbaya ya kupeleleza na kupekua aibu za watu na kunukuu baadhi ya hadithi zinazohusiana na maudhui hiyo. Mkabala na sifa ya kupeleleza na kuchunguza aibu za watu kuna sifa inayojulikana kama kuficha aibu za watu.