Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Alfajiri Kumi

  • Uchambuzi wa mienendo ya Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu:

    Uchambuzi wa mienendo ya Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: "Wewe Trump! Unayoyafanya ni upumbavu mtupu."

    May 10, 2018 08:12

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, jana Jumatano tarehe 9 Mei alitembelea Chuo Kikuu cha Walimu kwa mnasaba wa Wiki ya Mwalimu.

  • Kiongozi: Msiziamini nchi 3 za Ulaya katika mapatano ya JCPOA

    Kiongozi: Msiziamini nchi 3 za Ulaya katika mapatano ya JCPOA

    May 09, 2018 14:04

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria baadhi ya matamshi kuhusu Iran kuendelea kuwepo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na nchi tatu za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuhusu kufanya mazungumzo na nchi tatu za Ulaya, haipaswi kuziamiani na katika kila mapatano lazima kuwepo dhamana ya kweli na ya kivitendo la sivyo haiwezekani kuendelea kwa hali iliyopo."

  • "Ghuba ya Uajemi" (Persian Gulf); Jina Litakalobaki Milele Katika Kurasa za Historia

    May 01, 2018 08:35

    Ni matumaini yangu kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Jumatatu ya tarehe 30 Aprili ilisadifiana na siku ya mwisho ya kuondoka Wareno baada ya kutimuliwa kwenye eneo la maji ya kusini mwa Iran. Kwa mnasaba wa tukio hilo, siku hii inajulikana katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama "Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi". Baada ya utangulizi huo mfupi nakuomba sasa ujiweke tayari kusikiliza yale niliyokuandalia kwa mnasaba wa siku hiyo.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la udharura wa kusimama kidete kukabiliana na njama za maadui

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la udharura wa kusimama kidete kukabiliana na njama za maadui

    May 01, 2018 07:16

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mei Mosi, Siku ya Wafanyakazi Ulimwenguni kwamba kuna udharura wa kusimama kidete kukabiliana na njama za maadui.

  • Kiongozi: Mguu wa Marekani utakatwa katika eneo

    Kiongozi: Mguu wa Marekani utakatwa katika eneo

    Apr 30, 2018 12:57

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, "yule ambaye anapaswa kuondoka eneo la Asia Magharibi ni Mmarekani na wala sio Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kama nilivyosema miaka kadhaa iliyopita, zama za utumiaji mabavu zimefika ukingoni."

  • Alkhamisi tarehe Mosi Machi 2018

    Alkhamisi tarehe Mosi Machi 2018

    Mar 01, 2018 04:33

    Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Jamadithani 1439 Hijria sawa na tarehe Mosi Machi 2018.

  • Tamasha la Kimataifa la Filamu la Fajr la Iran kufanyika Aprili

    Tamasha la Kimataifa la Filamu la Fajr la Iran kufanyika Aprili

    Feb 18, 2018 07:37

    Tamasha la Kimataifa la Filamu la Fajr la Iran (FIFF) limepangwa kufanyika chini ya miezi miwili ijayo huku idadi kubwa ya filamu ikiwania kushiriki katika tamasha hilo.

  • Rouhani: Ulimwengu una imani kamili na Iran, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Rouhani: Ulimwengu una imani kamili na Iran, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Feb 13, 2018 16:48

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Ulimwengu una imani kamili na Iran, Mapinduzi na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu."

  • Bahman 22 ya Mapinduzi ya Kiislamu;

    Bahman 22 ya Mapinduzi ya Kiislamu; "Kujitawala, Kuwa Huru, Jamhuri ya Kiislamu"

    Feb 11, 2018 15:42

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yameingia katika mwaka wake wa 40 wa umri wake wenye baraka tangu yalipopata ushindi siku kama ya leo miaka 39 iliyopita. Ni mapinduzi ambayo, kwa kusimama kwake kidete na imara kukabiliana na ubeberu wa madola makubwa, yameonyesha kuwa yanataka Iran iwe na uhuru wa kweli wa kujitawala; kujitawala ambako kumepatikana kwa kutegemea irada ya wananchi walioungana na kuwa kitu kimoja.

  • Hamas: Iran baada ya Mapinduzi ya Kiislamu imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina

    Hamas: Iran baada ya Mapinduzi ya Kiislamu imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina

    Feb 10, 2018 16:25

    Mwanachama wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979, nchi hii imekuwa muungaji mkono mkuu wa Palestina na pia ni nchi yenye taathira chanya zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Mwendesha Mashtaka wa ICC aikosoa Marekani kwa kuwafananisha majaji wa mahakama hiyo na magaidi, walanguzi wa dawa za kulevya

    Mwendesha Mashtaka wa ICC aikosoa Marekani kwa kuwafananisha majaji wa mahakama hiyo na magaidi, walanguzi wa dawa za kulevya

    8 hours ago
  • Jumuiya ya Wafungwa wa Palestina: Israel ina mpango wa kumuua Marwan Barghouthi

  • Sudan yawatuhumu wanamgambo wa RSF kwa kuuwa raia 79 huko Kordofan Kusini

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Lebanon inakabiliwa na uchokozi hatari wa Israel

  • Tuzo ya Amani ya FIFA kwa Trump yaitwa 'Joki ya Karne'

Chaguo La Mhariri
  • Idadi ya wahanga wa mashambulizi ya Pakistan nchini Afghanistan yaongezeka

    Idadi ya wahanga wa mashambulizi ya Pakistan nchini Afghanistan yaongezeka

    9 hours ago
  • Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?

    Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?

    11 hours ago
  • Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?

    Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?

    19 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yaanza maneva makubwa la kijeshi Ghuba ya Uajemi kwa kutoa onyo kwa meli za Marekani

  • Hamas: Mwisho wa Abu Shabab ndio hatima isiyoepukika ya kila msaliti

  • Mwanamfalme wa Saudia: Tishio hasa la Asia Magharibi ni Israel, si Iran

  • Yasser Abu Shabab, mshirika wa Israel na msaliti wa Wapalestina wa Ghaza aripotiwa kuuawa

  • Wasomali wamjia juu Trump baada ya kuwaita "takataka", na kwamba nchi yao "inanuka"

  • Wakimbizi wa Burundi watakiwa kuondoka Tanzania

  • Trump na mkakati wa kuchochea ubaguzi wa rangi

  • Utafiti: Vita vya Gaza vinawasukuma Waingereza kwenye dini ya Uislamu

  • India, Russia zasisitiza utatuzi wa mpango wa nyuklia wa Iran kupitia mazungumzo

  • Wairaqi waunga mkono Hizbullah na Ansarullah baada ya tangazo la kuzuiliwa mali zao kimakosa

  • Marais wa DRC na Rwanda wasaini makubaliano chini ya upatanishi wa US huku mapigano yakiendelea

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS