Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Uchaguzi wa rais wa Iran umeanza mapema leo, Ayatullah Khamenei apiga kura

    Uchaguzi wa rais wa Iran umeanza mapema leo, Ayatullah Khamenei apiga kura

    Jul 05, 2024 07:31

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amepongeza "kuhusika athirifu" kwa watu wa Iran katika uchaguzi wa rais ulioanza mapema leo hapa nchini.

  • Kiongozi Muadhamu: Watu hawapaswi kuwa na shaka yoyote kuhusu kushiriki katika uchaguzi

    Kiongozi Muadhamu: Watu hawapaswi kuwa na shaka yoyote kuhusu kushiriki katika uchaguzi

    Jun 28, 2024 07:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran kutosita hata kidogo kushiriki katika uchaguzi wa leo wa Rais.

  • Barua ya wanazuoni wa Kisunni wa Iran kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu uchaguzi  wa kesho

    Barua ya wanazuoni wa Kisunni wa Iran kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu uchaguzi wa kesho

    Jun 27, 2024 08:08

    Katika barua waliyomuandikia Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, zaidi ya wanazuoni elfu mbili wa Kisunni wa Iran wamesema kuwa uchaguzi wa rais utakaofanyika kesho Ijumaa hapa nchini utaimarisha nguvu na irada ya taifa la Iran.

  • Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Jun 16, 2024 06:11

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda imetangtaza orodha ya mwisho ya wagombeaji wa uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika mwezi ujao.

  • Rais Rouhani asema rais mteule Raeisi atakabidhiwa ripoti za hali ya uchumi nchini

    Rais Rouhani asema rais mteule Raeisi atakabidhiwa ripoti za hali ya uchumi nchini

    Jun 20, 2021 12:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaamuru wanachama wa Idara ya Kiuchumi wa Serikali kumkabidhi rais mteule Sayyid Ebrahim Raeisi taarifa zote za hali ya kiuchumi ya nchi.

  • Rais mteule wa Iran aahidi kufanya juhudi zake zote kutatua matatizo ya wananchi

    Rais mteule wa Iran aahidi kufanya juhudi zake zote kutatua matatizo ya wananchi

    Jun 20, 2021 02:22

    Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeshinda katika uchaguzi wa 13 wa rais uliofanyika juzi Ijumaa humu nchini amesema kuwa, serikali atakayounda itafanya juhudi zake zote kutatua matatizo yaliyopo nchini hasa ya kiuchumi.

  • Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa Iran yatangazwa

    Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais wa Iran yatangazwa

    Jun 19, 2021 14:13

    Baada ya kumalizika zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi huo ulioshirikisha mamilioni ya wapiga kura.

  • Rais Rouhani: Dunia nzima leo inafuatilia uchaguzi wa rais nchini Iran

    Rais Rouhani: Dunia nzima leo inafuatilia uchaguzi wa rais nchini Iran

    Jun 18, 2021 08:18

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo baada na kupiga kura yake katika uchaguzi wa Rais amesema kuwa uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ni miongoni mwa chaguzi muhimu sana hapa nchini na kwamba dunia nzima inafuatilia uchaguzi huo.

  • Ghalibaf: Utatuzi wa matatizo ya nchi utapatikana kwa kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi

    Ghalibaf: Utatuzi wa matatizo ya nchi utapatikana kwa kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi

    Jun 18, 2021 02:17

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kuwa, matatizo ya nchi hayawezi kutatuliwa kwa kususia uchaguzi, bali jukumu kuu la wapiga kura ni kushiriki kwa wingi katika uchaguzi na kumchagua mtu ambaye wanaamini atawatatulia matatizo yao.

  • Rouhani: Tujitokeze kwa wingi kupiga kura ili tusiruhusu kutimia ndoto za adui

    Rouhani: Tujitokeze kwa wingi kupiga kura ili tusiruhusu kutimia ndoto za adui

    Jun 17, 2021 16:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine ametoa mwito kwa wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi akisisitiza kuwa, kwa kushiriki vilivyo katika uchaguzi, taifa la Iran halitoruhusu kuaguka ndoto za adui.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araghchi: Vita vya siku 12 vilimalizika kwa heshima, hadhi na ushindi kwa Iran

    Araghchi: Vita vya siku 12 vilimalizika kwa heshima, hadhi na ushindi kwa Iran

    20 minutes ago
  • Hamas yasambaza simulizi ya pili ya kimbunga cha al Aqsa, Muqawama hauwezi kufutwa

  • UN yalaani vikali shambulio la kigaidi lililoua waumini msikitini jimboni Borno, Nigeria

  • Sudan katika ukingo wa shimo la maangamizi, RSF washadidisha mashambulizi

  • Al-Sudani apinga vikali uhusiano na Iraq na Israel

Chaguo La Mhariri
  • Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

    Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

    58 minutes ago
  • Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

    Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

    14 hours ago
  • Erdogan: Israel haiheshimu ahadi zake, kamwe Uturuki haitaiacha Gaza

    Erdogan: Israel haiheshimu ahadi zake, kamwe Uturuki haitaiacha Gaza

    20 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yanasa meli iliyobeba lita milioni 4 za mafuta ya magendo

  • Waziri wa Vita wa Israel afuta haraka matamshi yake kuhusu uvamizi

  • Wazayuni wajigamba kwa kuishambulia kijeshi Qatar

  • 'Futa kauli au jiuzulu': CAIR yamkemea Mkuu wa Intelijensia kwa kudai Uislamu ndiyo tishio kuu kwa US

  • Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa watu wote si Waislamu

  • Iran yasema haikubali ukaguzi wa vituo vya nyuklia vilivyoshambuliwa

  • Mkuu wa majeshi Libya na wenzake wafariki katika ajali ya ndege, serikali yatangaza mambolezo ya siku 3

  • Iran yasuta 'diplomasia ya mabomu' ya Marekani

  • Ujumbe wa Libya wawasili Ankara, Uturuki kufuatilia kifo cha Mkuu wa Jeshi

  • Mali, Burkina Faso na Niger zaanzisha kituo cha Televisheni kukabiliana na taarifa za upotoshaji

  • Iran, Russia na China Zaungana katika Kupinga Snapback

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS