-
Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu kushadidi Intifadha huku Siku ya Kimataifa ya Quds ikikaribia
Jun 19, 2017 02:36Intifadha au mwamko wa Wapalestina unazidi kuchacha huku Siku ya Kimataifa ya Quds ikikaribia jambo ambalo limewatia kiwewe wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Jun 14, 2017 23:48Makumi ya walowezi wa Kizayuni jana Jumatano waliuvamia tena msikiti wa al Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Jun 14, 2017 21:59Makumi ya walowezi wa Kizayuni jana Jumatano waliuvamia tena msikiti wa al Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu
Jun 11, 2017 09:36Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Onyo kuhusu Quds na kulegeza kamba Donald Trump
Jun 03, 2017 02:48Walimwengu wamezidi kukasirishwa na ukandamizaji unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds. Huku hayo yakiripotiwa, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito wa kuitishwa Ijumaa ya ghadhabu dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Wazayuni wauvunjia heshima Msikiti wa al-Aqswa kwa siku ya pili mtawalia
Jun 01, 2017 02:54Walowezi wa Kizayuni wameuvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu kwa siku ya pili mtawalia baada ya kufanya uvamizi katika eneo la ndani la msikiti huo mtakatifu huko Baytul Muqaddas.
-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa
May 29, 2017 09:43Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia tena Msikiti wa al Aqsa kupitia upande wa Bab al-Magharibah na kwa mara nyingine tena kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Jihadul-Islam, yauonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel
May 16, 2017 03:50Brigedia ya Quds tawi la harakati ya muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina sambamba na kuonyesha picha na video kuhusiana na mwendelezo wa siasa za sasa za utawala huo dhidi ya taifa la Palestina na Ukanda wa Gaza, imetoa indhari kali kwa utawala huo.
-
Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)
Apr 25, 2017 10:37Waislamu wa maeneo mbalimbali ya dunia wameungana katika kusherehekea siku ya kubaathiwa Mtume Muhammad (saw).
-
Wazayuni waendelea kujenga vitongoji vya Wazayuni katika ardhi za Wapalestina
Apr 19, 2017 21:56Licha ya dunia nzima kulalamikia vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel za kupora ardhi za Wapalestina na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, lakini viongozi wa Israel wamepasisha mradi wa kujenga nyumba 212 za walowezi wa Kizayuni katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Baytul Muqaddas.