Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Jun 15, 2017 02:29

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni jana Jumatano waliuvamia tena msikiti wa al Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Jun 11, 2017 14:06

    Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Onyo kuhusu Quds na kulegeza kamba Donald Trump

    Onyo kuhusu Quds na kulegeza kamba Donald Trump

    Jun 03, 2017 07:18

    Walimwengu wamezidi kukasirishwa na ukandamizaji unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds. Huku hayo yakiripotiwa, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito wa kuitishwa Ijumaa ya ghadhabu dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Wazayuni wauvunjia heshima Msikiti wa al-Aqswa kwa siku ya pili mtawalia

    Wazayuni wauvunjia heshima Msikiti wa al-Aqswa kwa siku ya pili mtawalia

    Jun 01, 2017 07:24

    Walowezi wa Kizayuni wameuvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu kwa siku ya pili mtawalia baada ya kufanya uvamizi katika eneo la ndani la msikiti huo mtakatifu huko Baytul Muqaddas.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    May 29, 2017 14:13

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia tena Msikiti wa al Aqsa kupitia upande wa Bab al-Magharibah na kwa mara nyingine tena kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Jihadul-Islam, yauonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jihadul-Islam, yauonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 16, 2017 08:20

    Brigedia ya Quds tawi la harakati ya muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina sambamba na kuonyesha picha na video kuhusiana na mwendelezo wa siasa za sasa za utawala huo dhidi ya taifa la Palestina na Ukanda wa Gaza, imetoa indhari kali kwa utawala huo.

  • Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Apr 25, 2017 15:07

    Waislamu wa maeneo mbalimbali ya dunia wameungana katika kusherehekea siku ya kubaathiwa Mtume Muhammad (saw).

  • Wazayuni waendelea kujenga vitongoji vya Wazayuni katika ardhi za Wapalestina

    Wazayuni waendelea kujenga vitongoji vya Wazayuni katika ardhi za Wapalestina

    Apr 20, 2017 02:26

    Licha ya dunia nzima kulalamikia vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel za kupora ardhi za Wapalestina na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, lakini viongozi wa Israel wamepasisha mradi wa kujenga nyumba 212 za walowezi wa Kizayuni katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Baytul Muqaddas.

  • Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Apr 14, 2017 14:47

    Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Apr 06, 2017 14:49

    Karibu walowezi 50 wa Kizayuni leo Alkhamisi wamekivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Masjidul Aqswa na kuuvujia heshima msikiti huo mtakatifu kwa ulinzi kamili wa polisi wa Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

    China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

    19 minutes ago
  • Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

  • Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC

  • Video |

    George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia

  • Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi: Tumeanza wimbi la 15 la Opesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kambi za Marekani

Chaguo La Mhariri
  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    3 days ago
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    4 days ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    6 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi: Tumeanza wimbi la 15 la Opesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kambi za Marekani

  • Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC

  • Wabunge wa Marekani: Netanyahu amemtwisha Trump mpango wake dhidi ya Iran

  • Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel

  • Araqchi: Iran haina uadui na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

  • Wapinzani wa vita waandamana New York kupinga vita vya Trump dhidi ya Iran

  • Video |

    George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia

  • China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

  • Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS