-
Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina
Apr 14, 2017 10:17Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).
-
Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Apr 06, 2017 10:19Karibu walowezi 50 wa Kizayuni leo Alkhamisi wamekivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Masjidul Aqswa na kuuvujia heshima msikiti huo mtakatifu kwa ulinzi kamili wa polisi wa Israel.
-
Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka
Apr 04, 2017 03:26Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina amesema jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uhalifu 99 wa aina mbalimbali dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim katika mwezi uliopita wa Machi pekee.
-
Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds
Mar 11, 2017 02:52Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa vikali muswada wa sheria uliopasishwa hivi karibuni na Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, unaopania kupiga marufuku kusomwa adhana katika misikiti ya Quds tukufu.
-
Haaretz: Balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel amechangia kunyakuliwa ardhi za Wapalestina
Mar 07, 2017 12:04Gazeti la utawala wa Kizayuni wa Israel la Haaretz limefichua kuwa balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel, David Friedman kwa miaka mingi amekuwa akitoa kiwango kikubwa cha fedha kwa ajili ya kunyakua ardhi za Waislamu katika eneo al Quds (Jerusalem) na kuwapa makazi huko Wazayuni.
-
Israel yaendeleza jinai zake dhidi ya raia wanaodhulumiwa wa Wapalestina
Mar 07, 2017 00:59Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapa amri wanajeshi wake wavamie na kuvunja makumi ya nyumba za wananchi wa Palestina katika kijiji cha Khan al Ahmar, mashariki mwa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Kongamano la Kimataifa la Intifadha ya Palestina Tehran, Kikao Kilichokuwa na Ujumbe kwa Dunia
Mar 01, 2017 05:18Kongamano la Sita la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha au mwamko wa watu wa Palestina lilimalizika Februari 22 hapa Tehran kwa sisitizo la udharura wa kuhakikisha kuwa kadhia ya Palestina inabakia kuwa yenye kipaumbele cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu na nchi za Kiarabu.
-
Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani
Feb 27, 2017 23:15Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.
-
Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa
Feb 27, 2017 04:22Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina ametahadharisha kuhusiana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubomoa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu
Feb 26, 2017 11:20Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.