Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Apr 04, 2017 07:56

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina amesema jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uhalifu 99 wa aina mbalimbali dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim katika mwezi uliopita wa Machi pekee.

  • Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds

    Mar 11, 2017 06:22

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa vikali muswada wa sheria uliopasishwa hivi karibuni na Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, unaopania kupiga marufuku kusomwa adhana katika misikiti ya Quds tukufu.

  • Haaretz: Balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel amechangia kunyakuliwa ardhi za Wapalestina

    Haaretz: Balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel amechangia kunyakuliwa ardhi za Wapalestina

    Mar 07, 2017 15:34

    Gazeti la utawala wa Kizayuni wa Israel la Haaretz limefichua kuwa balozi mtarajiwa wa Marekani huko Israel, David Friedman kwa miaka mingi amekuwa akitoa kiwango kikubwa cha fedha kwa ajili ya kunyakua ardhi za Waislamu katika eneo al Quds (Jerusalem) na kuwapa makazi huko Wazayuni.

  • Israel yaendeleza jinai zake dhidi ya raia wanaodhulumiwa wa Wapalestina

    Israel yaendeleza jinai zake dhidi ya raia wanaodhulumiwa wa Wapalestina

    Mar 07, 2017 04:29

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapa amri wanajeshi wake wavamie na kuvunja makumi ya nyumba za wananchi wa Palestina katika kijiji cha Khan al Ahmar, mashariki mwa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Kongamano la Kimataifa la Intifadha ya Palestina Tehran, Kikao  Kilichokuwa na Ujumbe kwa Dunia

    Kongamano la Kimataifa la Intifadha ya Palestina Tehran, Kikao Kilichokuwa na Ujumbe kwa Dunia

    Mar 01, 2017 08:48

    Kongamano la Sita la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha au mwamko wa watu wa Palestina lilimalizika Februari 22 hapa Tehran kwa sisitizo la udharura wa kuhakikisha kuwa kadhia ya Palestina inabakia kuwa yenye kipaumbele cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu na nchi za Kiarabu.

  • Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Feb 28, 2017 02:45

    Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.

  • Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Feb 27, 2017 07:52

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina ametahadharisha kuhusiana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubomoa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Feb 26, 2017 14:50

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Mbunge wa Matuga, Kenya: Wanaadamu wote waunge mkono uhuru wa Palestina

    Mbunge wa Matuga, Kenya: Wanaadamu wote waunge mkono uhuru wa Palestina

    Feb 26, 2017 14:43

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aunga mkono Intifadha ya Palestina, alaani udhalimu wa Israel

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aunga mkono Intifadha ya Palestina, alaani udhalimu wa Israel

    Feb 26, 2017 12:35

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu

    IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu

    7 hours ago
  • UN yataka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu wasichana wadogo 167 waliouliwa na US/Israel

  • IRGC: Majibu yajayo yatakuwa makali zaidi, Tel Aviv yateketea kwa makombora

  • China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

  • Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

Chaguo La Mhariri
  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    4 days ago
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    5 days ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    6 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC

  • Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi: Tumeanza wimbi la 15 la Opesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kambi za Marekani

  • IRGC: Majibu yajayo yatakuwa makali zaidi, Tel Aviv yateketea kwa makombora

  • China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran

  • Wabunge wa Marekani: Netanyahu amemtwisha Trump mpango wake dhidi ya Iran

  • Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel

  • Araqchi: Iran haina uadui na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

  • Wapinzani wa vita waandamana New York kupinga vita vya Trump dhidi ya Iran

  • Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

  • Video |

    George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia

  • IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS