Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 03:58

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Oct 15, 2018 10:42

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.

  • Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Oct 15, 2018 10:24

    Tume ya Uchaguzi Cameroon Elecam imesema kesho Jumanne ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.

  • AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    Oct 10, 2018 10:52

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka wanasiasa wa Cameroon kuwa watulivu na kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kushadidisha taharuki katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Oct 08, 2018 23:13

    Mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Maurice Kamto amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili tarehe 7 Oktoba.

  • Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Oct 07, 2018 04:16

    Wananchi wa Cameroon waliotimiza masharti ya kupiga kura mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi mkuu wa rais, huku kinara wa chama cha PURS, Serge Espoir Matomba akikanusha taarifa kuwa amejiunga na muungano wa upinzani unaochuana na Rais Paul Biya.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Sep 30, 2018 10:55

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amekutaja kufanyika chaguzi za bunge na rais nchini humo kuwa njia bora zaidi kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo.

  • Al Sirraj aahidi kuandaa mazingira mazuri ya kufanyika uchaguzi Libya

    Al Sirraj aahidi kuandaa mazingira mazuri ya kufanyika uchaguzi Libya

    Sep 25, 2018 10:14

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa serikali yake itaandaa mazingira mazuri ya kufanyka uchaguzi licha ya mapigano yanayoendelea sasa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Katumbi: Matokeo ya uchaguzi wa Kongo DR kuyumbisha uthabiti Afrika

    Katumbi: Matokeo ya uchaguzi wa Kongo DR kuyumbisha uthabiti Afrika

    Sep 23, 2018 04:28

    Moise Katumbi, mwanasiasa wa upinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye kwa sasa yuko uhamishoni nchini Ubelgiji ametadharisha kuwa, matokeo ya uchaguzi wa rais utakaofanyika nchini humo mwishoni mwa mwaka huenda yakavuruga amani na uthabiti sio tu katika nchi hiyo bali kote barani Afrika.

  • Hillary Clinton awataka wananchi wa Marekani wakabiliane na siasa za udikteta za Donald Trump

    Hillary Clinton awataka wananchi wa Marekani wakabiliane na siasa za udikteta za Donald Trump

    Sep 19, 2018 10:01

    Hillary Clinton, Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametahadharisha kwamba, endapo Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump ataachwa afanye atakacho na kutokuweko uangalizi na usimamizi juu yake, basi nchi hiyo ijiandae kukabiliwa na matokeo hasi na mabaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS