-
UN yataka ushirikiano chanya katika mapambano dhidi ya Boko Haram
Jan 13, 2017 14:47Umoja wa Mataifa umetaka kuzidishwa ushirikiano kati ya nchi za eneo la Ziwa Chad katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa
Jan 09, 2017 06:58Askari watano wa jeshi la Nigeria na wapiganaji 15 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameuawa wakati kundi hilo liliposhambulia kituo cha jeshi katika eneo la mbali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria
Jan 09, 2017 04:33Ikiwa zimepita siku elfu moja hapo jana Jumapili tangu kutekwa wanafunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Chibok zaidi ya 200 kulikofanywa na wanamgambo wa kundi la kitakfiri na la kigaidi la Boko Haram huko Nigeria, hatima ya wanafunzi hao haijulikani.
-
Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka
Jan 07, 2017 03:20Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger ametangaza kuwa, wanachama wengine wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel
Jan 04, 2017 04:28Duru za Nigeria zimefichua kuwa, kundi la wanamgambo wa kigaidi wa Boko Haram limekuwa likipata misaada ya silaha kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi
Jan 02, 2017 07:06Katika hali ambayo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwaka mpya wa 2017 kwamba, ameazimia kuchukua hatua za kurejesha usalama na uthabiti wa nchi hiyo na wa kieneo, kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi la Boko Haram limetishia kutekeleza operesheni za kigaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria
Jan 01, 2017 03:03Kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram ametoa vitisho vipya dhidi ya jeshi la Nigeria.
-
Mtu anayedai kiongozi wa Boko Haram akanusha kutekwa kambi ya Sambisa
Dec 30, 2016 07:12Mtu aliyejitambulisha kuwa ni Abubakar Shekau, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini Nigeria amekanusha kuwa kundi hilo limefurushwa kwenye ngome yake kuu iliyoko kwenye msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram
Dec 25, 2016 03:51Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema jeshi la nchi hiyo limeiteka kambi kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Dec 20, 2016 03:06Watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi linalosadikiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.