Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • UN yataka ushirikiano chanya katika mapambano dhidi ya Boko Haram

    UN yataka ushirikiano chanya katika mapambano dhidi ya Boko Haram

    Jan 13, 2017 14:47

    Umoja wa Mataifa umetaka kuzidishwa ushirikiano kati ya nchi za eneo la Ziwa Chad katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa

    Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa

    Jan 09, 2017 06:58

    Askari watano wa jeshi la Nigeria na wapiganaji 15 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameuawa wakati kundi hilo liliposhambulia kituo cha jeshi katika eneo la mbali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria

    Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria

    Jan 09, 2017 04:33

    Ikiwa zimepita siku elfu moja hapo jana Jumapili tangu kutekwa wanafunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Chibok zaidi ya 200 kulikofanywa na wanamgambo wa kundi la kitakfiri na la kigaidi la Boko Haram huko Nigeria, hatima ya wanafunzi hao haijulikani.

  • Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka

    Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka

    Jan 07, 2017 03:20

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger ametangaza kuwa, wanachama wengine wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel

    Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel

    Jan 04, 2017 04:28

    Duru za Nigeria zimefichua kuwa, kundi la wanamgambo wa kigaidi wa Boko Haram limekuwa likipata misaada ya silaha kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Jan 02, 2017 07:06

    Katika hali ambayo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwaka mpya wa 2017 kwamba, ameazimia kuchukua hatua za kurejesha usalama na uthabiti wa nchi hiyo na wa kieneo, kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi la Boko Haram limetishia kutekeleza operesheni za kigaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Jan 01, 2017 03:03

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram ametoa vitisho vipya dhidi ya jeshi la Nigeria.

  • Mtu anayedai kiongozi wa Boko Haram akanusha kutekwa kambi ya Sambisa

    Mtu anayedai kiongozi wa Boko Haram akanusha kutekwa kambi ya Sambisa

    Dec 30, 2016 07:12

    Mtu aliyejitambulisha kuwa ni Abubakar Shekau, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini Nigeria amekanusha kuwa kundi hilo limefurushwa kwenye ngome yake kuu iliyoko kwenye msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram

    Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram

    Dec 25, 2016 03:51

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema jeshi la nchi hiyo limeiteka kambi kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 20, 2016 03:06

    Watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi linalosadikiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS