Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Jan 24, 2017 23:30

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, baadhi ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wanatumia watoto wachanga wanaonyonya kwa ajili ya kuwahadaa askari usalama na kufanya mashambulizi ya kigaidi.

  • Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Jan 24, 2017 04:36

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wameelezea wasi wasi wao kuhusu hatua ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Harm kukithirisha mbinu ya kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.

  • UN yataka ushirikiano chanya katika mapambano dhidi ya Boko Haram

    UN yataka ushirikiano chanya katika mapambano dhidi ya Boko Haram

    Jan 13, 2017 11:17

    Umoja wa Mataifa umetaka kuzidishwa ushirikiano kati ya nchi za eneo la Ziwa Chad katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa

    Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa

    Jan 09, 2017 03:28

    Askari watano wa jeshi la Nigeria na wapiganaji 15 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameuawa wakati kundi hilo liliposhambulia kituo cha jeshi katika eneo la mbali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria

    Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria

    Jan 09, 2017 01:03

    Ikiwa zimepita siku elfu moja hapo jana Jumapili tangu kutekwa wanafunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Chibok zaidi ya 200 kulikofanywa na wanamgambo wa kundi la kitakfiri na la kigaidi la Boko Haram huko Nigeria, hatima ya wanafunzi hao haijulikani.

  • Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka

    Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka

    Jan 06, 2017 23:50

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger ametangaza kuwa, wanachama wengine wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel

    Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel

    Jan 04, 2017 00:58

    Duru za Nigeria zimefichua kuwa, kundi la wanamgambo wa kigaidi wa Boko Haram limekuwa likipata misaada ya silaha kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Jan 02, 2017 03:36

    Katika hali ambayo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwaka mpya wa 2017 kwamba, ameazimia kuchukua hatua za kurejesha usalama na uthabiti wa nchi hiyo na wa kieneo, kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi la Boko Haram limetishia kutekeleza operesheni za kigaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Dec 31, 2016 23:33

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram ametoa vitisho vipya dhidi ya jeshi la Nigeria.

  • Mtu anayedai kiongozi wa Boko Haram akanusha kutekwa kambi ya Sambisa

    Mtu anayedai kiongozi wa Boko Haram akanusha kutekwa kambi ya Sambisa

    Dec 30, 2016 03:42

    Mtu aliyejitambulisha kuwa ni Abubakar Shekau, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la nchini Nigeria amekanusha kuwa kundi hilo limefurushwa kwenye ngome yake kuu iliyoko kwenye msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS