Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    Sep 29, 2016 10:24

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, maelfu ya watoto wadogo wapo katika hatari ya kupoteza maisha katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, kutokana na njaa na utapiamlo 'uliosababishwa' na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

  • Vijana kadhaa wa Chad warejea nchini kutoka katika kambi za Boko Haram

    Vijana kadhaa wa Chad warejea nchini kutoka katika kambi za Boko Haram

    Sep 29, 2016 01:09

    Duru za kuaminika zimearifu habari ya kurejea nchini vijana kadhaa wa Chad kutoka katika kambi za wanamgambo wa kundi la Boko Haram huko Nigeria.

  • Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Sep 26, 2016 10:50

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, wanajeshi wake wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Jeshi la Nigeria lauwa Boko Haram 15 jimboni Borno

    Jeshi la Nigeria lauwa Boko Haram 15 jimboni Borno

    Sep 23, 2016 10:52

    Msemaji wa Jeshi la Nigeria ameripoti kuwa wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa na jeshi katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Majeshi ya Niger, Chad yaua magaidi 38 wa Boko Haram

    Majeshi ya Niger, Chad yaua magaidi 38 wa Boko Haram

    Sep 17, 2016 10:31

    Majeshi ya Niger na Chad yameua magaidi 38 wa kundi la kitakfiri la Boko Haram katika miji miwili ya mpakani kusini mashariki mwa Niger mapema wiki hii.

  • Wanajeshi 7 wa Niger wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Wanajeshi 7 wa Niger wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Sep 14, 2016 03:41

    Jeshi la Niger limetangaza kuwa, wanajeshi wake saba wameuawa kusini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulio la wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Wanajeshi Nigeria wanawauzia silaha magaidi wa Boko Haram

    Wanajeshi Nigeria wanawauzia silaha magaidi wa Boko Haram

    Sep 04, 2016 09:23

    Imebainika kuwa baadhi ya wanajeshi fisadi nchini Nigeria wanawauzia silaha magaidi wa kundi la kitakfiri la Boko Haram.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad

    Sep 01, 2016 11:18

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umezitolea mwito taasisi za kimataifa kuwasaidia wahanga wa mashambulizi ya kundi la Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.

  • Wanigeria wakaribisha azma ya serikali kutaka kuzungumza na Boko Haram

    Wanigeria wakaribisha azma ya serikali kutaka kuzungumza na Boko Haram

    Sep 01, 2016 03:12

    Taasisi tofauti za kijamii na kiutamaduni nchini Nigeria zimekaribisha azma ya serikali juu ya kufanya mazungumzo na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kuhusiana na hatima ya wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na genge hilo.

  • Buhari: Kiongozi wa Boko Haram amejeruhiwa katika mashambulizi ya anga

    Buhari: Kiongozi wa Boko Haram amejeruhiwa katika mashambulizi ya anga

    Aug 28, 2016 09:46

    Rais wa Nigeria ameeleza kuwa waasi wa eneo la Niger Delta na wanamgambo wa kundi la Boko Haram wanatambuliwa hivi sasa kuwa matishio mawili hatari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS