-
Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram
Sep 26, 2016 14:20Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, wanajeshi wake wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Jeshi la Nigeria lauwa Boko Haram 15 jimboni Borno
Sep 23, 2016 14:22Msemaji wa Jeshi la Nigeria ameripoti kuwa wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa na jeshi katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Majeshi ya Niger, Chad yaua magaidi 38 wa Boko Haram
Sep 17, 2016 15:01Majeshi ya Niger na Chad yameua magaidi 38 wa kundi la kitakfiri la Boko Haram katika miji miwili ya mpakani kusini mashariki mwa Niger mapema wiki hii.
-
Wanajeshi 7 wa Niger wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram
Sep 14, 2016 08:11Jeshi la Niger limetangaza kuwa, wanajeshi wake saba wameuawa kusini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulio la wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Wanajeshi Nigeria wanawauzia silaha magaidi wa Boko Haram
Sep 04, 2016 13:53Imebainika kuwa baadhi ya wanajeshi fisadi nchini Nigeria wanawauzia silaha magaidi wa kundi la kitakfiri la Boko Haram.
-
Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto katika eneo la Ziwa Chad
Sep 01, 2016 15:48Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umezitolea mwito taasisi za kimataifa kuwasaidia wahanga wa mashambulizi ya kundi la Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.
-
Wanigeria wakaribisha azma ya serikali kutaka kuzungumza na Boko Haram
Sep 01, 2016 07:42Taasisi tofauti za kijamii na kiutamaduni nchini Nigeria zimekaribisha azma ya serikali juu ya kufanya mazungumzo na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kuhusiana na hatima ya wanafunzi wa kike wanaoshikiliwa na genge hilo.
-
Buhari: Kiongozi wa Boko Haram amejeruhiwa katika mashambulizi ya anga
Aug 28, 2016 14:16Rais wa Nigeria ameeleza kuwa waasi wa eneo la Niger Delta na wanamgambo wa kundi la Boko Haram wanatambuliwa hivi sasa kuwa matishio mawili hatari.
-
Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger
Aug 28, 2016 04:05Wanajeshi wanne wa Chad wameuawa baada ya kuripuka bomu la kutegwa ardhini katika eneo moja la mpakani mwa nchi hiyo na Niger.
-
WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 24, 2016 14:51Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa tangu mwezi Machi mwaka huu hadi sasa, idadi ya watu wanaohitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka maradufu na kufikia milioni 4.5.