Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya yajipanga kununua silaha mpya za kisasa za kivita kukabiliana na ongezeko la uhalifu

    Kenya yajipanga kununua silaha mpya za kisasa za kivita kukabiliana na ongezeko la uhalifu

    Apr 07, 2024 07:02

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa imo mbioni kununua silaha mpya za kisasa za kivita ili kukabiliana na ongezeko la uhalifu nchini humo.

  • Seneti ya Kenya: Watuhuniwa wa mbolea feki wafunguliwe mashtaka

    Seneti ya Kenya: Watuhuniwa wa mbolea feki wafunguliwe mashtaka

    Apr 01, 2024 10:40

    Maseneta wa Kenya wametaka maafisa wa serikali walioruhusu mbolea feki kuingia nchini humo na katika mabohari ya Bodi la Nafaka na Mazao (NCPB) wafikishwe mahakamani.

  • Familia Kenya zaanza kukabidhiwa miili ya wahanga wa Shakahola

    Familia Kenya zaanza kukabidhiwa miili ya wahanga wa Shakahola

    Mar 27, 2024 07:39

    Serikali ya Kenya imeanza kukabidhi miili ya watu waliofariki dunia kutokana na njaa katika msitu wa Shakahola pwani ya nchi hiyo, baada ya kuagizwa na mchungaji mwenye misimamo ya kufurutu ada, Paul McKenzie kufunga hadi kufa ili eti wakakutane na Yesu (Nabi Isa AS).

  • Mgomo wa madaktari nchini Kenya umeingia wiki ya pili huku huduma za dharura zikisitishwa

    Mgomo wa madaktari nchini Kenya umeingia wiki ya pili huku huduma za dharura zikisitishwa

    Mar 22, 2024 06:58

    Madaktari nchini Kenya wamesitisha kutoa huduma za dharura katika hospitali za serikali na hivyo kuutumbukiza mfumo wa afya katika mgogoro mkubwa zaidi huku mgomo wa kitaifa wa madaktari ukiingia wiki ya pili jana Alhamisi.

  • Mashirika 16 ya Kiirani katika maonyesho ya afya Kenya

    Mashirika 16 ya Kiirani katika maonyesho ya afya Kenya

    Mar 17, 2024 11:10

    Mashirika 16 ya ubunifu wa utaalamu ya Iran yanashiriki katika duru ya 24 la Maonyesho ya Sekta ya Afya nchini Kenya, yaliyopangwa kufanyika Nairobi kuanzia tarehe 17 hadi 19 mwezi Aprili mwaka huu.

  • Mgomo wa nchi nzima wa madaktari Kenya waacha wagonjwa wakitangatanga, utoaji huduma wakwama

    Mgomo wa nchi nzima wa madaktari Kenya waacha wagonjwa wakitangatanga, utoaji huduma wakwama

    Mar 15, 2024 07:41

    Madaktari kote nchini Kenya wamewaacha wagonjwa wakitangatanga baada ya kugoma kuhudumu katika hospitali za umma jana Alkhamisi, licha ya agizo la Mahakama la kuzuia mgomo wa kitaifa wa madaktari hao.

  • Kenya yaakhirisha mpango wa kutuma askari polisi Haiti

    Kenya yaakhirisha mpango wa kutuma askari polisi Haiti

    Mar 13, 2024 07:44

    Kenya imetangaza habari ya kuakhirisha mpango wake wa kutuma kikosi cha askari polisi 1,000 nchini Haiti, kufuatia kujiuzulu kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini, Ariel Henry.

  • Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Feb 27, 2024 07:27

    Nchi nyingine ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma maelfu ya askari wataoungana na Kikosi cha Kimataifa cha kulisaidia jeshi la Haiti kupambana na magenge ya uhalifu.

  • Kiongozi wa tapo la kidini Kenya na wenzake 29 washtakiwa kwa mauaji ya watoto 121

    Kiongozi wa tapo la kidini Kenya na wenzake 29 washtakiwa kwa mauaji ya watoto 121

    Feb 07, 2024 03:49

    Kiongozi wa tapo la kidini nchini Kenya liitwalo Good News International, Paul Nthenge Mackenzie na wasaidizi wake 29 wameshtakiwa rasmi kuhusika na mauaji ya watoto 191 ambao miili yao ilipatikana kati ya mamia ya watu waliozikwa kwenye msitu wa Shakahola.

  • Rwanda yasitisha matumizi ya dawa za fungus (Kuvu) kutoka Kenya kwa sababu za kiusalama

    Rwanda yasitisha matumizi ya dawa za fungus (Kuvu) kutoka Kenya kwa sababu za kiusalama

    Jan 05, 2024 11:55

    Mamlaka husika ya Afya nchini Rwanda imetaka kurudishwa dawa aina ya antifungal zilizo katika muundo wa vidonge zinazotumika kutibu matatizo ya fungus (Kuvu) zinazozalishwa nchini Kenya kutokana na masuala ya usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS