Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    Mar 13, 2020 02:50

    Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.

  • Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Waziri wa zamani wa Algeria kuwa mjumbe maalumu wa UN nchini Libya

    Mar 12, 2020 07:56

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Algeria ametangazwa kuwa chaguo la baadae la kushika nafasi ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya.

  • Kuendelea mashauriano kwa ajili ya kurejesha hali ya uthabiti Libya

    Kuendelea mashauriano kwa ajili ya kurejesha hali ya uthabiti Libya

    Mar 11, 2020 07:08

    Katika hali ambayo vita vinaendelea huko Libya; Khalifa Haftar kamanda wa wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya ameainisha masharti kwa ajili ya kutekeleza usitishaji vita huko Libya wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa katika ikulu ya Elysee.

  • UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    Mar 05, 2020 08:18

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watu wasiopungua 1,800,000 wameathirika vibaya na vita vya ndani nchini humo ambapo 266,000 kati yao ni watoto wadogo.

  • Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ajiuzulu

    Mar 03, 2020 07:25

    Ghassan Salamé, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, huku mgogoro wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ukishtadi.

  • Indhari ya UN kuhusu kubadilika mzozo wa Libya kuwa vita vya kieneo

    Indhari ya UN kuhusu kubadilika mzozo wa Libya kuwa vita vya kieneo

    Mar 02, 2020 00:20

    Licha ya mazungumzo na juhudi za kimataifa katika wiki za hivi karibuni kwa ajili ya kuhitimisha vita nchini Libya, lakini mapigano yamezidi kuongezeka na sasa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika imegeuka kuwa ulingo wa vita vya niaba.

  • UN: Mapigano ya ndani Libya yanaweza kugeuka kuwa vita vya kieneo

    UN: Mapigano ya ndani Libya yanaweza kugeuka kuwa vita vya kieneo

    Feb 29, 2020 07:13

    Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametahadharisha kuwa mapigano ya ndani nchini humo yanaweza kugeuka kuwa vita vya kieneo.

  • Al-Sarraj ailaumu Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa kushindwa kuutatua mgogoro wa Libya

    Al-Sarraj ailaumu Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa kushindwa kuutatua mgogoro wa Libya

    Feb 26, 2020 12:44

    Kiongozi wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya (GNA) ameilaumu Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwa kushindwa kutatua mgogoro wa nchi hiyo.

  • Imarati yawatumia wapiganaji wa Haftar ndege 100 zilizosheheni silaha

    Imarati yawatumia wapiganaji wa Haftar ndege 100 zilizosheheni silaha

    Feb 25, 2020 08:00

    Imebainika kuwa, ndege 100 za mizigo zilizosheheni silaha na zana za kijeshi zimewasili nchini Libya zikitokea Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ni mtenda jinai za kivita

    Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ni mtenda jinai za kivita

    Feb 25, 2020 01:22

    Fayez al Serraj Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelaani kushambuliwa maeneo ya raia na viwanja vya ndege nchini humo kunakofanywa na wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS