Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya

    Wafungwa zaidi ya 400 watoroka jela mjini Tripoli, Libya

    Sep 03, 2018 07:54

    Wafungwa zaidi ya 400 wametoroka jela baada ya kuzuka uasi na machafuko katika jela moja iliyoko kwenye kiunga cha kusini mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya

    Sep 02, 2018 13:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa haraka mapigano nchini Libya na pande zote zinazopigana katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ziheshimu usitishaji vita.

  • Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa

    Mapigano yanaendelea Libya, uwanja wa ndege wa Tripoli wafungwa

    Sep 01, 2018 07:30

    Mapigano makali yanayoendelea mjini Tripoli yamepelekea kufungwa uwanja wa ndege wa mji mkuu huo wa Libya.

  • Idadi ya  waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41

    Idadi ya waliouawa katika mapigano ya Tripoli, Libya yafikia watu 41

    Aug 31, 2018 03:50

    Idadi ya watu waliopoteza maisha yao katika mapigano ya siku za hivi karibuni huko Tripoli, mji mkuu wa Libya imefikia watu 41.

  • Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Mapigano yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Aug 30, 2018 04:18

    Mapigano yameanza tena katika mji mkuu wa Libya Tripoli baina ya pande zinazozozana nchini humo baada ya usitishaji vita wa muda mfupi.

  • Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya

    Usitishwaji mapigano watangazwa Tripoli, Libya

    Aug 28, 2018 14:05

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya Abdulsalam Ashour amesema kuwa makubaliano ya kusimamisha mapigano yamefikiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, kufuatia mapigano makali kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wenye silaha.

  • Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Libya yajiweka katika hali ya tahadhari kufuatia mripuko wa kipindupindu nchini Algeria

    Aug 27, 2018 08:00

    Wizara ya Afya ya Libya imetangaza kuwa hali ya tahadhari imetangazwa nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kufuatia mripuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Algeria.

  • Uungaji mkono wa silaha wa Imarati kwa magaidi nchini Libya

    Uungaji mkono wa silaha wa Imarati kwa magaidi nchini Libya

    Aug 27, 2018 04:31

    Tovuti ya habari ya Tunisia Online Today imeripoti kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) inawapatia silaha magaidi huko Libya.

  • Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Libya yalalamikia vikali jaribio la kurejeshwa wakimbizi nchini humo

    Aug 23, 2018 15:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelalamikia juhudi za nchi za Ulaya za kutaka kuwarejesha wakimbizi wa Kiafrika nchini Libya na kusema kuwa jambo hilo ni la kidhalimu, ni kinyume cha sheria na halikubaliki kabisa.

  • Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Aug 21, 2018 07:40

    Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS