Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Jul 02, 2016 00:08

    Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jul 01, 2016 10:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa taifa la Iran litaendelea kuunga mkono vilivyo haki za wananchi madhlumu wa Palestina na kueleza kuwa Tehran kamwe haitawaacha peke yao wananchi na muqawama wa Palestina mbele ya utawala katili wa Kizayuni.

  • Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas

    Jun 29, 2016 03:18

    Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.

  • Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani

    Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani

    Jun 28, 2016 23:57

    Mbunge wa ngazi za juu nchini Iran amesema kadhia ya Palestina ndio muhimu zaidi kwa Waislamu na hivyo ametoa wito wa ushiriki mkubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza

    Jun 28, 2016 23:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.

  • Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina

    Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina

    Jun 28, 2016 09:35

    Kamandi ya Majeshi yote ya Iran imetoa wito kwa watu wote katika ulimwengu wa Kiislamu kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa hii.

  • Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2016 03:17

    Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina

    Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina

    Jun 26, 2016 02:50

    Kufuatia kushadidi ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina, kumekuwepo wasiwasi na malalamiko makubwa miongoni mwa Wapalestina na jamii ya kimataifa.

  • Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua

    Jun 23, 2016 03:33

    Familia za Wapalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano kuutaka utawala wa Tel Aviv kuwapa miili ya wapendwa wao huku wakitaja sera hiyo ya kuzuia miili kuwa 'jinai na mateso kwa walio hai na waliokufa'.

  • Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba

    Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba

    Jun 21, 2016 03:29

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamempiga risasi na kumuua shahidi kijana Mpalestina kwa kosa la kurushia gari lao jiwe na baada ya hapo kuharibu nyumba ya Mpalestina mwingine katika Ukingo wa Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS