Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Waafrika Kusini waandamana kulaani ufisadi chini ya Rais Zuma

    Waafrika Kusini waandamana kulaani ufisadi chini ya Rais Zuma

    Sep 27, 2017 10:43

    Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano katika mji wa Cape Town kudhihirisha ghadhabu zao kutokana na kashfa mbalimbali za ufisadi, ukosefu wa ajira na kuzorota uchumi chini ya utawala wa Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

  • Rais al-Assad: Mataifa ya Kiarabu yanaliunga mkono taifa la Syria

    Rais al-Assad: Mataifa ya Kiarabu yanaliunga mkono taifa la Syria

    Sep 24, 2017 00:02

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, akthari ya mataifa ya Kiarabu yanaliunga mkono taifa la Syria, lakini tawala za Warabu zinawaunga mkono magaidi wanaopigana dhidi ya serikali ya Damascus.

  • Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Sep 20, 2017 23:18

    Wabunge wa vyama vya upinzani nchini Uganda wamesema serikali inawatishia maisha masaa machache kabla ya bunge la nchi hiyo kujadili muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Sep 14, 2017 10:14

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.

  • Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Upinzani Togo: Tutasitisha maandamano iwapo rais atajiuzulu

    Sep 09, 2017 03:12

    Kiongozi wa upinzani nchini Togo amesema maandamano ya wapinzani dhidi ya serikali ya nchi hiyo yataendelea kushuhudiwa madhali Rais Faure Gnassingbe wa nchi hiyo ataendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Rais Buhari wa Nigeria kutowania muhula wa pili mwaka 2019

    Rais Buhari wa Nigeria kutowania muhula wa pili mwaka 2019

    Sep 07, 2017 09:36

    Waziri mmoja wa ngazi za juu nchini Nigeria amesema Rais Muhamadu Buhari wa nchi hiyo hatagombea muhula wa pili katika kinyang'anyiro cha urais kinachotazamiwa kufanyika mwaka 2019.

  • Rais wa Zambia apongeza kustawi kukubwa uchumi wa Iran

    Rais wa Zambia apongeza kustawi kukubwa uchumi wa Iran

    Aug 30, 2017 10:52

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amepongeza ukuaji wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sanjari na kuwepo uhusiano mzuri wa pande mbili kati ya Tehran na Lusaka.

  • Rais Lungu asema ni lazima kupimwa HIV/UKIMWI nchini Zambia

    Rais Lungu asema ni lazima kupimwa HIV/UKIMWI nchini Zambia

    Aug 16, 2017 23:41

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amesema sasa ni lazima wananchi wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kufanyiwa vipimo vya virusi vya HIV vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Ukimwi, ikiwa ni katika jitihada za taifa hilo kulitokomeza jinamizi hilo kikamilifu kufikia mwaka 2030.

  • Wanigeria waandamana, wamtaka Buhari ajiuzulu

    Wanigeria waandamana, wamtaka Buhari ajiuzulu

    Aug 14, 2017 02:50

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano makubwa wakitaka Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo aliyeko London nchini Uingereza arejee nyumbani na kujiuzulu.

  • Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Rais Zuma wa Afrika Kusini anusurika na shoka la Bunge kwa mara ya 7

    Aug 09, 2017 02:34

    Kwa mara nyingine tena Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kuenguliwa madarakani baada ya kupataka uungaji mkono hafifu wa chama tawala ANC katika kura ya kutokuwa na imani naye Bungeni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS