Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka

    Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka

    Dec 01, 2016 11:30

    Mahakama ya Kijeshi ya Rwanda leo imeanza kusikiliza kesi ya afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyerejeshwa nyumbani kutoka Canada mwezi uliopita kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994.

  • Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari

    Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari

    Nov 30, 2016 04:08

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Rwanda imeanzisha uchunguzi wa jinai kuhusu kuhusika raia 20 wa Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi

  • SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali

    SAUTI: Kikao cha wananchi mjini Kigali

    Nov 15, 2016 07:07

    Wanasayansi na watafiti kutoka nchi zinazoendelea wametangaza kwamba wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa fedha hali inayodhoofisha tafiti zinazofanywa kwenye mataifa. Hata hivyo juhudi za hivi karibuni zinaonyesha huenda hali ikabadilika. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kigali na ripoti zaidi

  • Uholanzi yawarejesha Rwanda washukiwa 2 wa mauaji ya kimbari

    Uholanzi yawarejesha Rwanda washukiwa 2 wa mauaji ya kimbari

    Nov 13, 2016 12:48

    Uholanzi imewarejesha nchini mwao washukiwa wawili wa mauaji ya kimbari yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994.

  • Morocco yaelekea Afrika Mashariki kutafuta uungaji mkono AU

    Morocco yaelekea Afrika Mashariki kutafuta uungaji mkono AU

    Oct 20, 2016 10:04

    Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco ameanza ziara ya nchi tatu za Afrika Mashariki katika juhudi za kutafuta uungaji mkono wa kurejea nchi hiyo kuwa mwananchama wa Umoja wa Afrika, baada ya kujiondoa kwenye umoja huo zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • Ufaransa yafufua uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda

    Ufaransa yafufua uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda

    Oct 08, 2016 10:26

    Ufaransa imeanzisha tena uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.

  • Rwanda yaimarisha usalama katika kukabiliana na ugaidi tarajiwa

    Rwanda yaimarisha usalama katika kukabiliana na ugaidi tarajiwa

    Sep 01, 2016 03:23

    Serikali ya Rwanda imetangaza kuimarisha usalama katika maeneo tofauti ya nchi hiyo kwa lengo la kuzuia kutokea mashambulizi ya kigaidi nchini.

  • Rwanda yatahadharisha magaidi, yaua washukiwa 4

    Rwanda yatahadharisha magaidi, yaua washukiwa 4

    Aug 23, 2016 01:41

    Vyombo vya usalama nchini Rwanda vimesema havitafumbia macho yeyote atakayejaribu kujihusisha na mambo ya ugaidi kwa lengo la kuhatarisha usalama na amani ya nchi hiyo.

  • EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    Aug 09, 2016 08:41

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limesema karibuni hivi litaanza kuchunguza kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mzozo na uhasama kati ya nchi jirani za Rwanda na Burundi.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS