Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • IGAD yataka Sudan Kusini iwekewe vikwazo vya silaha

    IGAD yataka Sudan Kusini iwekewe vikwazo vya silaha

    Jul 17, 2016 11:24

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kieneo ya Mashariki mwa Afrika IGAD imetoa mwito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini kwa shabaha ya kukomesha mapigano mapya yaliyozuka nchini humo hivi karibuni na kusababisha mauaji ya mamia ya watu.

  • FAO yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Sudan Kusini

    FAO yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Sudan Kusini

    Jul 17, 2016 03:18

    Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mgogoro wa kibinadamu huko Sudan Kusini.

  • Jeshi la Uganda laanza kuondoa raia wake Sudan Kusini

    Jeshi la Uganda laanza kuondoa raia wake Sudan Kusini

    Jul 14, 2016 11:23

    Msafara wa magari ya jeshi la Uganda umeingia Sudan Kusini na kuanza kuwaondoa maelfu ya raia wa nchi hiyo waliokwama mjini Juba kutokana na mapigano mapya yaliyoikumba nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Jul 13, 2016 10:52

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameondoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba pamoja na askari wanaomuunga mkono na kwenda kusikojulikana.

  • UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana

    Jul 12, 2016 12:32

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa hali ya raia wanaokimbia vita na mapigano ya ndani Sudan Kusini inatia wasiwasi mkubwa.

  • Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Jul 12, 2016 03:17

    Pande mbili zinazohasimiana huko Sudan Kusini na kusababisha kuzuka upya kwa vurugu nchini humo zimetangaza kusitishwa kwa mapigano, baada ya kuwepo kwa siku kadhaa za machafuko mjini Juba zilizosababisha vifo vya mamia ya watu.

  • Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Raia wa Uganda wazuiwa kutembelea Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 23:16

    Jeshi la polisi la Uganda jana liliwapiga marufuku raia wa nchi hiyo kutembelea Sudan Kusini baada ya kuzuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba na kupelekea watu wasiopungua 300 kuuawa.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 08:28

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wametoa taarifa wakitaka kuhitimishwa mapigano katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

  • Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Jul 11, 2016 02:57

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.

  •  Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 11:31

    Mapigano yaliyoshtadi katika siku kadhaa zilizopita huko Sudan Kusini yamemfanya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kueleza wasiwasi wake kutokana na machafuko yanayoendelea huko Juba mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS