Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 10:26

    Wanajeshi wasiopungua 115 wameuawa Sudan Kusini katika mapignao baina ya mirengo hasimu serikalini katika mji mjuu Juba.

  • Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 03:10

    Baada ya siku moja ya mapigano ya umwagaji damu kati ya waungaji mkono na wapinzani wa Sudan Kusini katika mji mkuu Juba, kumeripotiwa kutokea ufyatualianaji risasi katika eneo lililopo jirani na ikulu ya Rais.

  • Jumamosi 09 Julai 2016

    Jumamosi 09 Julai 2016

    Jul 09, 2016 01:32

    Leo ni Jumamosi tarehe 9 Julai mwaka 2016 Miladia.

  • Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo

    Jul 04, 2016 03:22

    Serikali za Uganda na Sudan Kusini zimeafikiana kupambana na wizi wa mifugo na haswa ng'ombe unaofanyika mara kwa mara katika vijiji vilivyoko mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Wakazi wa Magharibi mwa Sudan Kusini wakimbia mapigano

    Wakazi wa Magharibi mwa Sudan Kusini wakimbia mapigano

    Jul 03, 2016 23:36

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limeripoti kuwa wakazi wa eneo moja huko magharibi mwa Sudan Kusini wameyakimbia makazi yao kufuatia kujiri mapigano ya silaha kati ya jeshi la Sudan Kusini na makundi yenye silaha.

  • Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Jul 01, 2016 10:47

    Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amesema kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo imeongezeka.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 08:53

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Jun 26, 2016 10:43

    Mapigano makali ya silaha baina ya jeshi la serikali na makundi ya waasi yameshadidi katika mji wa Wau ulioko katika jimbo la Bahr el Ghazal nchini Sudan Kusini.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 21, 2016 23:34

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • Kuanza mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuanza mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini

    Jun 06, 2016 22:03

    Mazungumzo kati ya maafisa wa Sudan na Sudan Kusini yalianza tena jana Jumatatu ya tarehe 6 Juni katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS