-
Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini
Jul 09, 2016 10:26Wanajeshi wasiopungua 115 wameuawa Sudan Kusini katika mapignao baina ya mirengo hasimu serikalini katika mji mjuu Juba.
-
Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini
Jul 09, 2016 03:10Baada ya siku moja ya mapigano ya umwagaji damu kati ya waungaji mkono na wapinzani wa Sudan Kusini katika mji mkuu Juba, kumeripotiwa kutokea ufyatualianaji risasi katika eneo lililopo jirani na ikulu ya Rais.
-
Jumamosi 09 Julai 2016
Jul 09, 2016 01:32Leo ni Jumamosi tarehe 9 Julai mwaka 2016 Miladia.
-
Uganda, Sudan Kusini kupambana na wizi wa mifugo
Jul 04, 2016 03:22Serikali za Uganda na Sudan Kusini zimeafikiana kupambana na wizi wa mifugo na haswa ng'ombe unaofanyika mara kwa mara katika vijiji vilivyoko mpakani mwa nchi mbili hizo.
-
Wakazi wa Magharibi mwa Sudan Kusini wakimbia mapigano
Jul 03, 2016 23:36Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limeripoti kuwa wakazi wa eneo moja huko magharibi mwa Sudan Kusini wameyakimbia makazi yao kufuatia kujiri mapigano ya silaha kati ya jeshi la Sudan Kusini na makundi yenye silaha.
-
Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka
Jul 01, 2016 10:47Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amesema kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo imeongezeka.
-
Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini
Jun 29, 2016 08:53Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.
-
Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani
Jun 26, 2016 10:43Mapigano makali ya silaha baina ya jeshi la serikali na makundi ya waasi yameshadidi katika mji wa Wau ulioko katika jimbo la Bahr el Ghazal nchini Sudan Kusini.
-
Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini
Jun 21, 2016 23:34Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.
-
Kuanza mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini
Jun 06, 2016 22:03Mazungumzo kati ya maafisa wa Sudan na Sudan Kusini yalianza tena jana Jumatatu ya tarehe 6 Juni katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.