Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Bolivia yataka kufunguliwa mashtaka Netanyahu katika mahakama ya ICJ

    Bolivia yataka kufunguliwa mashtaka Netanyahu katika mahakama ya ICJ

    Mar 03, 2024 04:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bolivia ametoa wito wa kufunguliwa mashtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  • Ijumaa, tarehe Mosi Machi, 2024

    Ijumaa, tarehe Mosi Machi, 2024

    Mar 01, 2024 02:28

    Leo ni Ijumaa tarehe 20 Sha'ban 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Machi mwaka 2024.

  • Amir wa Qatar asisitiza ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza

    Amir wa Qatar asisitiza ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2024 11:50

    Amir wa Qatar amesisitiza kuwa kuna ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Ubaguzi, chuki zawalazimisha wanawake Waislamu kuhama Ufaransa

    Ubaguzi, chuki zawalazimisha wanawake Waislamu kuhama Ufaransa

    Feb 17, 2024 11:33

    Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.

  • Ujumbe wa Bunge la Ufaransa: Israel inataka kuwaangamiza wakazi wote wa Gaza

    Ujumbe wa Bunge la Ufaransa: Israel inataka kuwaangamiza wakazi wote wa Gaza

    Feb 09, 2024 07:46

    Ujumbe wa Bunge la Ufaransa umetangaza kuwa, Israel sio tu kwamba inataka kuiangamiza Hamas, bali pia kuwaangamiza wakazi wote wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Biden aboronga tena, mara hii adai alikutana karibuni na Rais wa Ufaransa aliyefariki dunia 1996

    Biden aboronga tena, mara hii adai alikutana karibuni na Rais wa Ufaransa aliyefariki dunia 1996

    Feb 07, 2024 03:48

    Rais Joe Biden wa Marekani ameboronga tena kwa kumchukulia Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuwa ni rais wa zamani wa nchi hiyo marehemu Francois Mitterrand, alipokuwa akielezea yaliyojiri katika mkutano wa 2021 wa G7 wakati wa kampeni za uchaguzi mwishoni mwa juma.

  • Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Jan 31, 2024 10:51

    Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.

  • Ufaransa 'yaogopa' kujiunga na US, UK katika hujuma dhidi ya Yemen

    Ufaransa 'yaogopa' kujiunga na US, UK katika hujuma dhidi ya Yemen

    Jan 13, 2024 11:49

    Serikali ya Ufaransa imekataa kusaini taarifa ya kuunga mkono mashambulizi ya anga ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen, na kusisitiza kuwa haitashiriki katika hujuma hizo eti za kulinda safari za meli katika Bahari Nyekundu.

  • Waziri Mkuu mpya 'shoga' wa Ufaransa amteua 'mume wake shoga' kuwa waziri wa mambo ya nje

    Waziri Mkuu mpya 'shoga' wa Ufaransa amteua 'mume wake shoga' kuwa waziri wa mambo ya nje

    Jan 12, 2024 07:01

    Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Gabriel Attal ambaye ni 'shoga' amemteua 'mume wake shoga' Stephane Sejourne kuwa waziri wa mambo ya nje, siku chache tu baada ya yeye kuwa shoga wa kwanza aliyejinadi hadharani kushikilia wadhifa wa uwaziri mkuu wa nchi hiyo.

  • Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Jan 08, 2024 12:11

    Katika kuendeleza misimamo inayozusha mizozo ya nchi za Magharibi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amepuuza jinai zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Gaza na kudai kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kukomesha vitendo vyake vinavyovurunga amani na uthabiti wa eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS