Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Jul 14, 2016 23:41

    Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.

  • Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Jul 14, 2016 03:22

    Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.

  • Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba

    Jul 11, 2016 02:57

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.

  • Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi

    Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi

    Jul 10, 2016 23:09

    Mbunge mmoja nchini Iran amenusurika kuuawa katika hujuma ya kigaidi katika mkoa wa Kermanshah magharibi mwa nchi.

  • Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi

    Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi

    Jul 10, 2016 23:04

    Mwana wa kiume wa Osama bin Laden, kinara wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda ametuma ujumbe wa sauti na kuitishia Marekani kuwa, atalipiza kisasi damu ya baba yake.

  • Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima

    Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima

    Jul 06, 2016 00:02

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mkono wa kheri na nafaka kwa kuwadia sherehe za Idul-Fitri na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa marais wa nchi za Kiislamu na kusema kuwa, jinamizi la ugaidi ni tishio sio tu kwa nchi jirani na marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hili Mashariki ya Kati, bali kote duniani.

  • Iran yataka Waislamu waungane kukabiliana na ugaidi

    Iran yataka Waislamu waungane kukabiliana na ugaidi

    Jul 05, 2016 09:09

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif amelaani vikali msururu wa hujuma za kigaidi nchini Saudi Arabia katika Mji Mtakatifu wa Madina na miji ya Qatif na Jeddah.

  • Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani

    Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani

    Jul 04, 2016 02:44

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katu haitapumzika hadi pale ugaidi na idiologia za kuchupa mipaka za magaidi zitakapotokomezwa kikamilifu.

  • Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Jun 24, 2016 22:41

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Jun 17, 2016 00:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS