-
Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia
Jul 14, 2016 23:41Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.
-
Maafisa sita wa polisi Kenya wauawa katika hujuma ya kigaidi
Jul 14, 2016 03:22Maafisa wasiopungua sita wa polisi wanaripotiwa kuuawa nchini Kenya baada ya gaidi kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi inayopakana na Uganda.
-
Uganda haitatuma UPDF S/Kusini huku KQ ikisimamisha safari za ndege Juba
Jul 11, 2016 02:57Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limesema halitatuma askari wake kwenda kudhibiti hali ya mambo nchini Sudan Kusini, muda mfupi baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuzitaka nchi za kanda ya Afrika Mashariki kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro na mapigano mapya yaliyozuka nchini humo.
-
Mbunge Iran anusurika kuuawa na magaidi
Jul 10, 2016 23:09Mbunge mmoja nchini Iran amenusurika kuuawa katika hujuma ya kigaidi katika mkoa wa Kermanshah magharibi mwa nchi.
-
Mwanae bin Laden aitisha Marekani kuwa atalipiza kisasi
Jul 10, 2016 23:04Mwana wa kiume wa Osama bin Laden, kinara wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda ametuma ujumbe wa sauti na kuitishia Marekani kuwa, atalipiza kisasi damu ya baba yake.
-
Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima
Jul 06, 2016 00:02Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mkono wa kheri na nafaka kwa kuwadia sherehe za Idul-Fitri na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa marais wa nchi za Kiislamu na kusema kuwa, jinamizi la ugaidi ni tishio sio tu kwa nchi jirani na marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hili Mashariki ya Kati, bali kote duniani.
-
Iran yataka Waislamu waungane kukabiliana na ugaidi
Jul 05, 2016 09:09Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif amelaani vikali msururu wa hujuma za kigaidi nchini Saudi Arabia katika Mji Mtakatifu wa Madina na miji ya Qatif na Jeddah.
-
Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani
Jul 04, 2016 02:44Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katu haitapumzika hadi pale ugaidi na idiologia za kuchupa mipaka za magaidi zitakapotokomezwa kikamilifu.
-
Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati
Jun 24, 2016 22:41Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani
Jun 17, 2016 00:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.