Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Dec 01, 2016 04:15

    Msemaji wa Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa Bi May anaunga mkono kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na anataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano hayo.

  • Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Nov 23, 2016 00:47

    Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Maandamano makubwa  zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Nov 21, 2016 04:18

    Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.

  • Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Chama cha Liberal Democrats chataka kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Nov 12, 2016 00:37

    Chama cha Liberal Democrats nchini Uingereza kimetoa wito wa kuitishwa kura mpya ya maoni kuhusu uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.

  • Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Nov 04, 2016 00:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.

  • Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 03:46

    Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.

  • Ulimwengu wa Michezo, Okt 31

    Ulimwengu wa Michezo, Okt 31

    Oct 31, 2016 03:58

    Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kutoka kila kila dunia ndani ya siku saba zilizopita.

  • Ulimwengu wa Michezo, Okt 24

    Ulimwengu wa Michezo, Okt 24

    Oct 24, 2016 03:27

    Iran yaibuka ya 2 Kombe la Dunia mchezo wa Kabaddi; Mau U wachezea mkong'oto Stamford Bridge na Sundowns yatwaa Kombe la Klabu Bingwa Afrika.

  • Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Serikali ya Uingereza kukabiliana na wahamiaji

    Oct 06, 2016 01:11

    Wizara ya Biashara ya Kimataifa ya Uingereza imeweka wazi mpango wake wa kukabiliana na wahamiaji wanaoingia nchini humo.

  • Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Sep 30, 2016 04:03

    Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS