Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Jun 28, 2016 23:57

    Shirika la Frontex limeripoti kuwa, lina wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la wakimbizi kuingia barani Ulaya kwa kupitia Misri na kwamba wakimbizi hao wanakabiliwa na hatari ya kifo baharini.

  • Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Jun 20, 2016 10:02

    Umoja wa Ulaya umeamua kuongeza nguvu zake za kijeshi katika opereseheni zake za baharini maarufu kwa jina la Operesheni Sophia, nchini Libya.

  • Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya

    Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya

    Jun 16, 2016 11:00

    Serikali ya Niger imesema wahajiri 34 raia wa nchi kadhaa za Afrika wakiwemo watoto wadogo 20 wameaga dunia katika jangwa la nchi hiyo baada ya kutelekezwa na mtu aliyekuwa akiwapeleka barani Ulaya.

  • UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya

    UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya

    Jun 13, 2016 11:05

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi kuhusu habari za kuzuiliwa wakimbizi wakiwemo watoto wadodo katika mazingira ya kutisha barani Ulaya.

  • Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC

    Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC

    Jun 07, 2016 03:30

    Nchi za bara Ulaya zimetilia shaka hatua ya Marekani kushinikiza kuwekewa vikwazo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kumtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo asigombee urais kwa muhula wa tatu.

  • Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Jun 06, 2016 23:23

    Asilimia 42 ya dawa zilizopigwa marufuku katika masoko ya bara Ulaya tangu mwaka 2012, zinauzwa katika nchi za bara Afrika.

  • UNHCR: Wakimbizi 2,500 wamezama mwaka huu wakielekea Ulaya

    UNHCR: Wakimbizi 2,500 wamezama mwaka huu wakielekea Ulaya

    May 31, 2016 11:03

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa wakimbizi wasiopungua 2,500 wamefariki dunia mwaka huu wakiwa katika safari ya hatari ya kuelekea barani Ulaya.

  • Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    May 29, 2016 09:34

    Mamia ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya katika muda wa siku chache zilizopita.

  • Kongo Brazzaville kuimarisha uhusiano na marafiki zake

    Kongo Brazzaville kuimarisha uhusiano na marafiki zake

    May 15, 2016 02:19

    Jamhuri ya Kongo Brazzaville imesema kuwa, itaendelea kuwa na uhusiano mzuri na marafiki zake, na kwamba mashinikizo ya kigeni hayataifanya nchi hiyo iwasahau marafiki zake.

  • Ziara ya mabalozi wa Ulaya nchini Libya

    Ziara ya mabalozi wa Ulaya nchini Libya

    Apr 15, 2016 09:34

    Mabalozi wa nchi za Ufaransa, Uhispania na Uingereza wameelekea nchini Libya kama njia ya kutangaza uungaji mkono wao kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS