• Ulimwengu wa Michezo, Februari 19

    Ulimwengu wa Michezo, Februari 19

    Feb 19, 2024 07:05

    Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri katika kona mbalimbali za dunia ndani ya siku saba zilizopita…

  • Ulimwengu wa Spoti, Februari 5

    Ulimwengu wa Spoti, Februari 5

    Feb 05, 2024 07:27

    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.

  • Ulimwengu wa Michezo, Jan 29

    Ulimwengu wa Michezo, Jan 29

    Jan 29, 2024 06:27

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa yaliyoshuhudiwa viwanjani katika pembe mbali mbali za dunia ndani ya siku saba zilizopita.....

  • Ulimwengu wa Michezo, Jan 22

    Ulimwengu wa Michezo, Jan 22

    Jan 22, 2024 08:50

    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Januari 15

    Ulimwengu wa Spoti, Januari 15

    Jan 15, 2024 08:25

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa....

  • City yatwaa ubingwa Kombe la Dunia kwa Klabu+VIDEO

    City yatwaa ubingwa Kombe la Dunia kwa Klabu+VIDEO

    Dec 23, 2023 07:54

    Manchester City ya Uingereza imeibuka kidedea na kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa Klabu kwa mara ya kwanza, na hivyo kuidhihirishia dunia kwa mara nyingine tena kuwa ndiyo klabu bora zaidi duniani.

  • Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Dec 09, 2023 11:14

    Timu ya taifa ya soka ya vijana ya Uganda imebuka kidedea baada ya kuichabanga Kenya mabao 2-1 katika fainali ya Mashindano ya Kandanda ya Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Cecafa kwa vijana wenye chini ya miaka 18.

  • Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Dec 03, 2023 10:59

    Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.

  • Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Nov 13, 2023 06:17

    Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imetwaa ubingwa wa Kombe la Ligi ya Kandanda ya Afrika baada ya kuicharaza Wydad Casablanca jumla wa mabao 3-2 kwenye fainali ya mkondo wa pili iliyopigwa Jumapili hii ya Novemba 12.

  • Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Sep 20, 2023 14:08

    Mechi za raundi ya 1 ya Ligi ya Klabu Bingwa barani Asia zilifanyika jana Jumanne.