Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulaya: Trump atazusha vita vingine Balkan

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulaya: Trump atazusha vita vingine Balkan

    Mar 24, 2017 22:21

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulaya amesema kuwa mienendo na mielekeo ya Rais Donald Trump wa Marekani itasababisha vita vipya katika eneo la Balkan huko Ulaya.

  • Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Iran kuanza kuziuzia nchi za Ulaya mapipa laki 8 ya mafuta kwa siku

    Mar 20, 2017 04:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatazamiwa kuongeza kiwango cha mauzo yake ya mafuta kwa nchi za Umoja wa Ulaya EU.

  • Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mar 15, 2017 09:49

    Jumatatu iliyopita Umoja wa Ulaya, ulitangaza kurefusha vikwazo kwa muda wa miezi sita mingine dhidi ya shakhsia na mashirika kadhaa ya Russia na eneo la Crimea, yaani hadi tarehe 15 Septemba mwaka huu.

  • EU yarefusha vikwazo dhidi ya Russia

    EU yarefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Mar 14, 2017 01:00

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa umerefusha vikwazo vilivyowekwa na umoja huo kwa shakhsia na mashirika ya Russia na eneo la Crimea kwa muda wa miezi sita yaani hadi kufikia Septemba 15.

  • EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    Feb 10, 2017 00:56

    Neven Mimica, Kamishna wa Ushirikiano na Ustawi wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo utaisaidia serikali ya Gambia msaada wa kiasi cha Euro milioni 75.

  • Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Feb 07, 2017 00:31

    Serikali ya Morocco imetishia kuvunja uhusiano wake wa kiuchumi na Umoja wa Ulaya (EU).

  • UN, EU, Vatican zakasirishwa na sheria ya ubaguzi ya Trump

    UN, EU, Vatican zakasirishwa na sheria ya ubaguzi ya Trump

    Feb 02, 2017 04:02

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Vatican zimelaani sheria tata ya ubaguzi ya Rais Donald Trump wa Marekani, ya kuzuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia nchini humo.

  • Kuongezeka mivutano kati ya Umoja wa Ulaya na Burundi

    Kuongezeka mivutano kati ya Umoja wa Ulaya na Burundi

    Jan 28, 2017 09:04

    Hali ya mvutano kati ya Burundi na Umoja wa Ulaya ingali inaendelea na sasa serikali ya Bujumbura imeutuhumu umoja huo kuwa unakiuka mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo.

  • Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Jan 26, 2017 09:25

    Federica Mogherini, Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo hauna nia ya kuipa Libya pendekezo lile lile uliloipa Uturuki kuhusiana na wakimbizi.

  • EU yataka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    EU yataka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Jan 25, 2017 01:12

    Umoja wa Ulaya umewataka viongozi wa Nigeria kuheshimu amri ya mahakama ya kumwachilia huru mara moja kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS