Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya kigaidi huko Istanbul Uturuki

    Jun 29, 2016 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa kwenye uwanja wa ndege wa Istanbul Uturuki.

  • Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Jun 28, 2016 02:49

    Wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wameghadhabishwa na hatua ya Uturuki kuhuisha uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala huo, baada ya kuukatiza zaidi ya miaka mitano iliyopita.

  • Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Jun 23, 2016 22:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema kuwa Moscow ipo tayari kufanya mazungumzo na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki.

  • Muhammad Ali kuzikwa leo, rais wa Uturuki na mfalme wa Jordan kutohutubia

    Muhammad Ali kuzikwa leo, rais wa Uturuki na mfalme wa Jordan kutohutubia

    Jun 09, 2016 23:33

    Nguli wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali anatazamiwa kuzikwa leo Ijumaa katika mji wa Louisville jimbo la Kentucky nchini Marekani.

  • 11 Wauawa katika mlipuko wa bomu Istanbul

    11 Wauawa katika mlipuko wa bomu Istanbul

    Jun 07, 2016 09:50

    Mji wa Istanbul nchini Uturuki umekumbwa na mlipuko wa bomu ambapo watu 11 wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 36 kujeruhiwa.

  • Uturuki kufungua kituo cha kijeshi nchini Somalia

    Uturuki kufungua kituo cha kijeshi nchini Somalia

    Jun 04, 2016 00:02

    Serikali ya Uturuki imefungua ubalozi mpya nchini Somalia na kuahidi kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kijeshi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika karibuni hivi.

  • Kenya na Uturuki zakubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama

    Kenya na Uturuki zakubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama

    Jun 03, 2016 02:53

    Marais wa Kenya na Uturuki wamekubaliana nchi zao mbili kushirikiana katika kubadilishana taarifa za usalama na za kiintelijinsia kwa lengo la kuzima uwezekano wa kutokea mashambulio ya kigaidi.

  • Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi

    Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi

    May 30, 2016 11:00

    Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa kuomba radhi ndio njia pekee iliyonayo Uturuki.

  • Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais

    Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais

    May 22, 2016 11:50

    Binali Yildirim, Waziri wa Uchukuzi wa Uturuki ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa chama tawala AKP sambamba na kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Ahmet Davutoğlu.

  • Magaidi kadhaa wa Daesh watibiwa nchini Uturuki

    Magaidi kadhaa wa Daesh watibiwa nchini Uturuki

    May 14, 2016 23:22

    Baadhi ya wanamgambo wa genge la kigaidi la Daesh hivi karibuni wamepatiwa matibabu kwa siri katika hospitali moja ya mji wa Gaziantep nchini Uturuki, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS