Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Jul 06, 2016 00:01

    Watu 9 wameuawa na kundi la waasi wa ADF-Nalu wa Uganda kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Jul 03, 2016 08:56

    Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo zimearifu habari ya kukamatwa idadi kadhaa ya silaha zilizokuwa zikimilikiwa na waasi huko kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Jul 01, 2016 03:26

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 08:53

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Jun 17, 2016 03:53

    Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.

  • Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Jun 10, 2016 23:48

    Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Jun 03, 2016 10:16

    Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.

  • Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    May 28, 2016 11:32

    Kamanda mmoja wa jeshi la Uganda amesema kuwa, hali ya usalama imesharejea kaskazini mwa nchi hiyo, na ndio maana sheria ya hali ya hatari imeondolewa.

  • Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC

    Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC

    May 21, 2016 11:27

    Afisa mmoja mwandanamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kutiwa mbaroni waasi kadhaa wa kundi la Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda

    Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda

    May 15, 2016 02:15

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha opereseheni mpya ya kijeshi dhidi ya waasi wa Uganda, mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS