Wadau kufanya utafiti kuhusu matumizi ya Kiswahili Afrika Mashariki + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i42484-wadau_kufanya_utafiti_kuhusu_matumizi_ya_kiswahili_afrika_mashariki_sauti
Hayo yamebainika katika Kongamano la Kiswahili mjini Arusha, Tanzania
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Mar 31, 2018 23:46 UTC

Hayo yamebainika katika Kongamano la Kiswahili mjini Arusha, Tanzania

Kamisheni ya Kiswahili katika jumuiya ya Afrika Mashariki imetangaza rasmi mkakati mpana wa kuanza kufanya utafiti kuhusu matumizi ya Kiswahili kwenye nchi zinazounda jumuiya ya Afrika. Wadau katika utafiti huo wanasema utasaidia kuweka mwongozo wa pamoja wa kutumia Kiswahili kama lugha ya wana-jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kutoka Arusha, Sylvanus Karemera anaripoti zaidi.