Tanzania ingali inashuhudia mfumko wa bei za bidhaa+SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i52079-tanzania_ingali_inashuhudia_mfumko_wa_bei_za_bidhaa_sauti
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Tanzania, Ephraim Kwesigabo amesema kuwa mfumuko wa bei nchini humo kwa mwaka ulioishia mwezi Februari 2019 umebaki kuwa asilimia 3 kama ilivyokuwa mwaka ulioisha.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Mar 10, 2019 13:06 UTC

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Tanzania, Ephraim Kwesigabo amesema kuwa mfumuko wa bei nchini humo kwa mwaka ulioishia mwezi Februari 2019 umebaki kuwa asilimia 3 kama ilivyokuwa mwaka ulioisha.

Mwandishi wetu wa Dar es Salaam, Ammar Dachi ana maelezo zaidi….