Wapinzani CAR walalamikia ukandamizaji wa serikali + Sauti
Jul 19, 2019 01:43 UTC
Vyama vya upinzani na asasi za kijamii za Jamhuri ya Afrika ya Kati zimeilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kukandamiza maandamano yao katika muda wa mwezi mmoja uliopita. maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wetu, Mossi Mwasi...
Tags